Leo ten tumekuja na mafunzo kwa wanawake, kuna baadhi ya wanawake ambao wana harufu mbaya sana katika sehemu zao za siri, sasa nimeitengeneza video hii kwa ajili ya kuwaelimisha njia ya kujitibu wenyewe kwa gharama isiyozidi elfu kumi,
Aidha nimetoa vitu ambavyo vinasababisha madhara hayo ya...
Nimekuwa nikiendesha blog yangu ya TOFAUTY BLOG (www.tofauty.ga) Lakini kulingana na jina hilo la .ga nikataka kulibadilisha liwe www.tofauty.com nikaweka hela benki kwa ajili ya kuweza kununua domain lakini nimeshindwa kununua kwani wananiambia card yangu hairuhusiwi kufanya biashara ndani ya...
Ni kwamba nina imani kwamba watu wengi wanaifaham Baking soda vizuri na nimekuta huku huku JF wakielezea matumizi ya baking Soda inavyosatumika kama vile kusafishia masinki ya vyoo, na pia kuondolea harufu kwenye friji, kwenye nyama na hata nguo mpya
Lakini cha zaidi ambacho mimi ninataka...
Jamani wana JF nina tatizo langu ambalo nimejaribu ku-google nikashindwa kuelewa namna gani naweza kufanya.
Naombeni msaada wenu kwa yeyote yule ambaye anafahamu ni njia gani ambayo naweza kutumia kupost Audio yangu youtube ambayo inakuwa na mtiririko wa kuwa na picha halafu chini ya picha au...
Jamani watanzania za saa hizi
Ninaomba mnieleweshe kwamba
Je kuna njia ambayo mmiliki wa website anaweza kubadili MB za wanaotembelea website na kuzibadilisha kuwa fedha??
Na kama ipo ni njia gani kuunda website kama hizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.