Habari wanajukwaa,
Nakuja kwenu wanajamvi kuuliza kama ni sahihi mtu kulazimishwa kuchanjwa hasa hii chanjo ya korona. Nijuavyo mimi mtu anatakiwa aelimishwe kisha ahiari pasipo shuruti.
Lakini Hali ni tofauti mkoani RUKWA wilaya ya NKASI kwani kinachoendelea sio uelimishaji wala uhamasishaji...
Natumaiani hamjambo wana JF
Nina ndugu yangu Umri ni 50+ anasumbuliwa na tatizo la matiti kupata maumivu makali ya kujirudia rudia hasa upande kushoto yanayopelekea uvimbe, na hujihisi joto pindi yanapoanza kuuma.
Maumivu hujirudia baada ya muda (Mf wiki 1 au 2). Ni tatizo la muda mrefu kidogo...
Haji anataka huruma, jambo la kisheria angelimaliza kisheria kuna mamlaka za juu zaidi ya TFF Angekata rufaa tu basi. Binafsi sidhani kama hii itasaidia kitu zaid ya kuchochea moto
Mwanaume hujisikia vibaya sana (huumia) kuachana bila kutunukiwa mbususu katika mbinu za kivita anakuwa kafeli sana
NB; Msitangulize pesa mbele mtaliwa kimasihara sana maumivu ya pesa husuuzika anapotunukiwa mbususu
Mapenzi ni kama kamali ongozwa na akili na sio hisia, usione aibu kumwambia sina kama kwel anakupenda atakusikiliza kma hakupendi mwache aende maana kila likuepukalo lina heri.......... ( but ony for alpha mens)
Watu wa betting wanasema
Toa(beti) kile unachoweza kupoteza.
Excess of any thing is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.