Search results

  1. K

    Naumia sana na wachezaji wetu wa SIMBA

    Heshima kwenu, Simba wenzangu Hawa watu wanaweza wakatupeleka nusu fainali ijayo kweli wakiwapa muda au waondoke? 1: saidoo 2:onana 3: jobe 4: fredy 5:mikson 6: taja mwingine
  2. K

    Kayoko mbona unazidi kupoteza ubora wako?

    Hivi kweli zile kadi nyekundu kwa Erasto na Ulimwengu zilistahili kutolewa kweli? Au Mimi ndiyo mshamba wa Sheria 17?
  3. K

    Nifanye nini kiwanja changu kiwe na muhuli wa mahakama pamoja na ati miliki?

    Salam ndugu zangu, Ni mwaka wa pili Sasa toka niuziwe KIWANJA mbele ya serikali ya mtaa/ Kijiji Naomba msaada au ushauri wa namna ya kupata Saini ya mahaka au HATI MILIKI . Natanguliza shukrani zangu
  4. K

    Msaada mimea yangu inanyauka

    Salaam kwenu wapendwa, Mimi ni mkulima wa mazao ya nyanya na viazi mviringo. Kuna ugonjwa ambao unanitesa sana shambani kwangu na kwa wengine pia ugonjwa wenyewe ni mmea kunyauka pindi tu unavyotaka kuweka matunda. Naombeni msaada WA mawazo, dawa na namna ya kujinasua na huu ugonjwa wa...
  5. K

    Nifanye Nini simu yangu isiniandikie storage full?

    Ukubwa wa simu yangu ni gb 32 Infinix hot 9 . Nimejaribu kufuta kila kitu Sina video Wala picha yeyote lakini nikitaka hata kupiga picha tu inaniandikia storage full, naomba msaada wenu wa setting..
  6. K

    Mvua ya El Nino ya mwaka 1997/1998

    Njoo tukumbushane matukio unayoyakumbuka katika mvua mbaya Sana iliyonyesha mwaka 1997/1998. Mvua ilikua inanyesha asubuhi mpaka jioni hakuna kutoka nje ninayoyakumbuka Mimi ni: a) tulipikiwa maembe dodo na mapapai kama Chakula. b) serikali ya Kijiji iligawa unga kidogo kidogo kila Kaya ili...
  7. K

    Benki ya mkulima ipo? Na Kama ipo iko wapi?

    Heshima kwenu ninyi nyote, Naomba kuuliza , Benki ya mkulima ipo? Na Kama ipo iko wapi? Na uko iliko inafanya kazi kweli kwa ajili ya mkulima? Kilimo kinaitaji mtaji wa kutosha na wakulima wengi wa chini huo mtaji hawaupati kwa urahisi kutokana na masharti mengi kutoka benki zingine, Naomba...
  8. K

    Sitosahau nilivyokutana na Jini usiku

    Heshima kwenu ndugu zangu, Ilikuwa mwaka 2005 muda wa saa 5 usiku ndipo tulipomaliza group discussion Mimi na marafiki zangu watatu tuliokuwa tunasoma wote TAQWA HIGH SCHOOL maeneo ya Ghana jijini mwanza. Safari ilianza mdogo mdogo kurudi nyumba, kila mmoja alikua anakaa sehemu tofauti...
  9. K

    Mechi ya Simba vs Wydad ni saa 8:00 mchana

    Kwa ratiba hii tuombee Sana siku hiyo jua liwake vya kutoa ili wapinzani wetu waingia kwenye mfumo.
  10. K

    Hapa simba waliitwa underdog lakini mafuta yakajitenga na maji

    Tuache ushabiki wa kinazi Simba ni next level uko kimataifa Yanga mna kila sababu ya kujifunza
  11. K

    Nimeuza 15000 kwa debe viazi mviringo shambani

    Bila shaka mko salama, Nina miaka 7 nalima viazi mviringo uku nyanda za juu kusini mkoa wa Iringa. Kwa miaka yote bei ya shambani ilikua inacheza sh 5000_8000 kwa debe shambani. Lakini ilipofika mwezi wa tano mwaka huu bei ilibadilika Sana na kufikia 15000. Wanunuzi wanatafuta kiazi mviringo...
  12. K

    Gambosi (Gamboshi) kwenye Mkutano wa Polisi Jamii, kila raia amekaa Kama mganga wa kienyeji wamevaa vinyago, ngozi za wanyama

    Habari Wana jamii forum Kuna picha moja nimeiona inasambaa uko Instagram ikimuonyesha afisa mmoja wa jeshi la polisi akiwa anaongea na wananchi wa Kijiji Cha GAMBOSHI kuhusu usalama wa raia. Kilichonishangaza zaidi ni kuona kila raia amekaa Kama mganga wa kienyeji wamevaa vinyago,ngozi za...
  13. K

    Nimelelewa na babu yangu aliekuwa mfanyakazi wa wakoloni

    Tujikumbushe kidogo tuliolelewa na baba au babu walioishi zama za wakoloni Binafsi nimezaliwa mkoa wa Mara wilaya ya bunda . Maisha yangu yote nimekaa na babu na Bibi uko kijijini. Babu yangu kwa Sasa ni marehemu toka 2001 Babu alikua mfanyakazi wa wakoloni enzi hizo kutokana na historia...
  14. K

    Mvua kubwa uko manungu

    Kama tunavyojua mnyama simba anapepetana na mtibwa sugar katika uwanja wa manungu complex Mvua kubwa Sana imenyesha maji ni mengi mengi uwanjani na nje ya uwanja Tunasubili kujua hatima ya mchezo huu Bechi la ufundi la simba limeingia uwanjani kukagua uwanja Kama utafaa au la!!
  15. K

    Usiyoyajua kuhusu Makabila ya Wajita na Wakurya

    Nawasalimu kwa Jina Baba Mwenyezi aliye Mbinguni Wakurya na Wajita ni makabila yanayopatikana mkoa wa Mara, Wajita wakipatikazana zaidi Bunda na Majita Wakati wakurya wanapatikana kwa wingi Rorya na Tarime Makabila haya ni ya watu wanaojiheshimu na wastaarabu Sana Tena Sana tatizo la haya...
  16. K

    Salaaam kwenu wajumbe wa uchaguzi

    Niwambie tu kwamba mnyonge m yongeni lakini haki yake mpeni. Hivi Nani asiyejua kuwa kwenye utawala wa karia timu ya taifa ilifika Afcon? Nani asiyejua timu ya vijana na wanawake zimepanda chati? Sasa hivi mashindano ya azam federation yanafika kila Kona ya Tanzania. Tunataka nini cha ziada...
  17. K

    Mke wangu ndiye ukoo wangu, ndugu huna nyongeza yoyote

    Niende kwenye hoja, kumekuwa na desturi za ndugu na jamaa kuingilia mambo ya NDOA za watu na kutoa ushauri utadhani wao walisoma vyuo vya ndoa. Ninavyojua mimi ndoa haiwezi kua na amani maisha yenu yote kuna siku mnatofautiana. Mtu unamsema mke wa mwenzio vibaya sara siyo lika lako mara ni...
  18. K

    Samaki sio wa kuokota Kama senene/ kumbikumbi

    Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri. Kuna hii tabia ya watu wa mikoani ambapo hakuna ziwa Wala bahari Wana tabia ya kuagiza vitu utadhani vinakwenda kuokotwa tu Unakuta mtu anakwamba ukirudi kutoka Mwanza naomba uniletee samaki na dagaa kwani wa uko ni watamu Sana Pengine hata shilingi mia moja...
  19. K

    Ni tabia gani ambayo hutaki mwanao aje airithi?

    Binafsi mwanangu sitaki aje arithi tabia yangu ya upole uliopitiliza kwani itakuja kumuathiri uko mbeleni. Kuna wazazi wengine ni wachoyo ,wakali, wambeya,wakimya nk Sasa mwanao hutaki arithi tabia gani uliyo nayo???
  20. K

    Simba watajinyakulia 1.2 bilioni

    Kwa mjibu wa caf timu zitakazoingia makundi yaani 16 bora watapata pesa za kitanzania bilioni moja na milioni mia mbili
Back
Top Bottom