mkubwa equivalent wote hawajapata eti wanaassume wote mwafanya kazi eti msomeshwe na mashirika au waajiri wenu kazi kwelikweli ndo hivyo tumesha zoea sa utafanyaje
da uzembe uliokisiri 4sure jamaa.dogo.na wasimamizi wachukuliwe hatua kwa kwenda kinyume na sheria wasimamizi hawakuwa makini na kazi yao na huyo jamaa baada ya kumfundisha dogo anaona njia ni kumfanyia paper
da hii ndo tanzania mbona tcu na bodi wanatuchanganya eti not a priority mtu ana vigezo vyote da kwa mtindo huu watasoma watoto wa vigogo2 siwezi uza vitu vyote home eti nikasome then ukimaliza unasugua banch bora unakuwa na uhakika wa kazi wataka wote tuwe walimu nani atawahukumu...
inauma sana mkubwa haingii akilini kabisa kuwa serikali haiwezi kuwapatia wanafunzi madawati na vifaa vingine kumbuka nchi hii co maskini hiyo dhana2 wanufaika wachache2 da manjority wanataabika esp shule za vijijini balaa 2pu
jamani naomba kujuzwa make inasikitisha sana kwamba kwa wale wenye ufaulu wa stahiki yaan equivalent qualifications wanaopewa mkopo ni wale2 watakao soma ualimu wa sayansi na hisabati wa fani zingine kama law.bba.pub na zilizobaki wote hawatapewa inasikitisha sana coz wengine hawawez kuafford...
da ila lakini jamani wa kulaumiwa ni necta by da way kwani necta hawana uhusiano na tcu.sa waliwaruhusuje waende 4m five angali hawana hizo credit au ndo kujaza2 mashule yao da ina uma sana wanajamii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.