mmmmh! kweli hii ni JF!!!!!!! nawaheshimu wote kwa hili, kifupi mm nimgeni kidogo kwenye masuala ya ufugaji kwa maana sijapata kufuatilia mambo zaidi ya haya ya vibali, ila kiukweli napenda sn kufuga hasa Kuku na ndege wote kiujumla, ila kweli sheria zetu zipo hovyo wangetoa vbali wengi...
Nakushukuru sn Mkubwa kwa taarifa mna mawazo ya mzingi sn, sasa naomba unisaidie kuulisa hizo kuulizie fertilized eggs za kuku wa Austrolop, upatikanaji wake, wanauza kwa idadi gani (mfano tray kuanzia ngap) na bei kwa kila tray!
nimekupata Mkubwa kweli hii ni mbegu ya maana, vp hiyo company unayosema inaagiza kutoka INDIA hawaagizi hawa kuku wa malawi, au hawa kuku wa malawi (weus) ma wale wekundu wanawaita (kuchi) wapi wanataga vzuri na hawasumbui kwa magonjwa! au ni kuku aina gani wanaotaga vizur na wanapatikana hapa...
Heshima yenu wanaJF, Nina wazo la kufunga kuku, kwa nia ya kujiongezea kipato naomba ushauri wa namna ya kupata mtu au mahali ninapoweza kupata ushauri wa :- kuku gani wa kufuga (wa kisasa au wa kienyeji) namna ya kufuga na hali ya kibiasha kuhusiana na soko lake!!
Masaada!!!!
tunaomba kupata abc za kariakoo markets corporation kuhusiana na hii corporation, vision, mission, and current issues
ambazo zinaweza kuulizwa kwa interview
link zinatosha sn, jamani tushukuru hata kwa hili maana ingekuwa 2nategemea magazeti ingekuwaje nani angethubutu kununua magazeti zaid ya copy 1 au 2? suala ni kuwasaidia waliokuwa mbali, hii changamoto wahusika wameisikia wataifanyia kazi hata kwa kutafuta njia mbadala kwa kutumia simu! LINK...
Msaada wadau kama kuna anaeweza kunisaidia ili nipate Material ya Profesional Stage I & II, pia wapi naweza kupata vitabu! au msaada hata wa kusoma pamoja kwa wale wanaofanya pepa za Novemba!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.