Search results

  1. M

    Nauza Hp Elitebook laptop Bei rahisi mno

    Habr wadau, Nauza Hp Elitebook laptop bei kitonga laki na 20 ,,laptop ina Features kama 500Gb Hdd ,4gb Ram, icore 2 duo windows 7 ultimate Tatzo lake ipo slow na battery haikai na charge mpk uchomeke kwenye umeme....ila kila kt kingine ipo sawa...krbuni tufanye biashara....
  2. M

    Msaada HP laptop Elite book ipo very slow

    Habr wanaZengo wa Jf, laptop yangu ya Hp Elite Book inamatatizo ya kuwa ipo very slow, afu ukiweka movie ina Stuck sana , lakn nimebadlisha HardDrive ya zamani 320Gb na kuweka 500Gb mpya afu pia nimeongeza Ram ilikuwa 2Gb na kuweka 2Gb nyingine hvo kuwa 4Gb lakn bado ipo very slow...msaada...
Back
Top Bottom