Mishahara mipya ya mwezi wa saba hiyo hapo chini. TGTS B/1 TSH.460,000/= TGTS C/1 TSH.620,000/= TGTS D/1 TSH.867,000/= TGTS E/1 TSH.989,000/=TGTS F/1 TSH 1,234,000/= Kwa maelezo zaidi tembelea.NB MUUNDO WA KADA YA UALIMU MSINGI UMEUHUISHWA KUTOKA B HADI G. www.pmoralg.co.tz
ni kama nusu saa sasa naahangaika kuifungua hii website na haifunguki.
shida yangu ni kuwa nahitaji kupata ufafanuzi wa "cut off points form V selection 2014"
mfano HGL 13:31:3:6 hii ni kwa "female"
halafu 12:27:7:8. kwa "males"
msaada tafadhali
Nitaacha hii kazi ya uwakala maana malipo mapya ya vodacom m pesa mwaka huu wa fedha yanakatisha tamaa. yaani tsh 40, kwa muamala. ni hasara. kama voda wamekosea waseme
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.