mi cjaelewa jaman wanandugu wa jamii forum, kwa nini uvote kitu ili kishinde kwenye maajabu ina maana co cha maajabu kwa sababu kama kitu ni cha maajabu kitajieleza na sio kutuambia tukipigie kura ili kuingia kwenye maajabu, ebu nsaidieni kwa ili manake mi cwaelewi kabsa hawa wahusika au...
eti lulu anataka kuchangisha pesa ili aweze kwenda UK kumwona Justin Bieber coz anampenda sana na hata ikitokea justin akamtaka kmapenz yupo tyr kwel huyu mtoto ndoto zake noumaaaaaaaaa.
cku zote m2 wa majungu hafanikiwi, pia wana mashaka na elimu zao ndo maana wanataka madaraka kwa nguvu waksambaza cfa mbaya ili wao waonekane wema ila Mungu n mwema na ataonesha njia kwan hana upendeleo na ubariki patakatifu. Kashfa zao hao hazna faida na daima watazd kuwa chini 2. Wasomi weng...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.