Ni kweli hufahamu kuwa Siwa alikuwa DOI enzi za Upson? Hujui Kipilimba na Diwani hawakuwa na uzoefu ktk idara kama Siwa. Tena Kipilimba aliomba kuondoka akiwa mdogo mno hata uzoefu hakuwa nao. Upson mwenyewe aliteuliwa akitokea Mgulani JKT. FYI RO yupo, Kina Mombo wapo TISS bado na wqnafanya...
Hujawahi kumsikia Tulia Ackson, Nape Nnaye. Jerry Silaa, Kuna mkataba wa Kanisa Katoliki na Serikali wa kurudishiwa mashule na hospitali wakati taasisi nyingine hawakurudishiwa aliwahi kuulizwa nani kabla hawajasaini?
DC Limbukeni kweli yule jamaa, anaona UDC ndo kila kitu, mshaaambaa. Eti vile alikuwa ktk panel ya waCCCM waliohakiki mali za chama akapata UDC anaona kayapatiia Maisha, na huyo mgombea Mwakasaka naskia kamla Mil 90 waist wajumbe hawahonga mil 36 tu nyingine kapeleka pwani
Bw Komanya Kitwala na akili za kuharibiwa na upofu wa madaraka. Alitumika kwenye kura za maoni baada ya mzigo kupewa yeye agawie wajumbe kwa ujira wa Tsh 60m Lengo likatimia.
Sasa kajisahau anawapanda kichwani hadi viongozi wa chama ambao wangemlinda, kasababisha sasa jimbo wanajitwalia CDM...
DC KOMANYA WA TABORA MJINI KAMWE HATUTOKUPA USHIRIKIANO ZAIDI YA KUISHI NAWE KINAFIKI
KAMA UMOJA WA WAKUU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI TUMEDHAMIRIA YAFUATAYO
1: Kutokukupa ushirikiano wa aina yoyote ule ktk harakati zako za kutafuta kiki.
2: Kutokualika ktk shughuli zozote za kielimu...
Huyu DC ndie DC wa hovyo kuzidi hata yule wa Kilolo.
1. Tangu ateuliwe kuwa DC kazi yake ni kujisifu mbele ya watumishi ,madiwani,wana CCM na hata mbele ya mikutano ya wananchi wakawaida.
2. Alianza kugombana na dereva wa DC ambae alimkuta akimuendesha DC Qeen Mulozi ambae ni DC aliekuwa...
niliisha uza, ila kando yake nina 1.5 acre ina green house na mpunga, kisima kwa 9m na mbele mita 600 kuelekea baharini nina ekari 4, zina nyumba ,mabanda 2 ya ufugaji, kisima na tank la maji bei mil 40 na beach kabisa acre 6(hazijalimwa) kwa mil 78
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.