Pima PH ya udongo wako kwanza kabla ujatumia mbolea ya aina yoyote, unaweza kuharibu ardhi nzuri kwa kuweka mbolea bila kujua. Kuna maabara nyingi zimefunguliwa siku sio nyingi zinapima Soil Ph na wanatoa ushauri wa kitaalam, ni aina gani ya mbolea uweke au usiweke na kiasi.
Unapatikana maeneo gani Dar es Salaam, nahitaji kufanya marekebisho ndani ya nyumba yangu, Jikoni, na Choo cha master bedroom.
Nahitaji kujua eneo unalopatikana ili nijue urahisi au ugumu kukufikisha eneo langu, na mawasiliano yako.
Aliishawahi kuishutumu serikali inamzuia kufanya biashara kule FORBES Magazine. Afunge aone kama CCM itakuwa KIJANI tena.
Hivi Yusufu Manji alienda kutibiwa na hakupona tena au nini kilimtokea?
Huyu Slaa alipokuwa Mayor wa jiji la Dar es Salaam, alipingana sana na Magufuli. Wakati magufuli akiwa waziri wa ujenzi walikuwa wanabishana kuhusu kung'oa mabango ya biashara kutoka barabara za Tanroad. Alimshutumu magufuli kwamba anaendesha wizara kwa mihemko na hafuati sheria.
Sasa Leo tena...
Achwe afunge aone, CCM watasema SIYO MTANZANIA, na ataondolewa yeye na ndugu zake. Account zake zitakuwa frozen, na mali zitataifishwa na kuuzwa kulipia madeni anayodaiwa.
Atapelekwa INDIA kwa kuongelea, chezea majambazi.
Kumbe ndio maana swaumu kali sana? CCM jinamizi, Bakwata mali yao, KKKT mali yao. Imeshindwa kwa KATOLIKI tu, lakini hivi vidhehebu vya Kiinjilist na Mitume feki mali yao.
Walipwe kwa kazi wazifanyazo siyo kuchota pesa tu bila shughuli yoyote. Mil 5 kwa kazi gani? Walipwe tu wanapofanya kazi za kibunge, vinginevyo watafute ajira au shughuli binafsi kama wananchi wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.