Habari zenu?
Dada yangu anahitaji ushauri wa haraka kabla hajapata shinikizo la damu.
Dada anahisi shemeji hampi kipaumbele kama yeye anavyo mjali . Kwa kweli dada anampenda sana huyo bwana,
na shemeji naye anakiri kumpenda sana dada lakini inaonekana kuwa ni maneno mengi ya wanaume kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.