Wakuu mnakumbuka nilileta huu uzi hapa jukwaani[
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1904366/
emoji1313][emoji1313]basi huu ndo mrejesho wangu
Mrejesho:Nilichelewa kuja kutoa mrejesho humu ndani kuhusu kidonda changu Lakini baada ya kutoka hapa niliuchukua ushauri nikaenda hospital...
Mficha maradhi kifo humuumbua nimeweka na picha
Kilianza miezi 3 iliyopita kama kipele tu sasa hivi ndo kama unavyokiona
Hakiponi kabisa nilijitahidi kukanda na maji moto na chumvi lakini wapi
Kinakaa kinavimbia utadhan usaha kumbe kinavimbia damu tu
Nakosa hata raha ya kuwaza kushiriki...
Ya kwanza niliitafuta sana aliimba fally ipupa na j martin
Sasa hii ya pili inafanana na hiyo ila jina silijui ina kama sauti yake inasema "kibai bai baiii" jina tafadhali.
Nyingine inaimba "....wanna make me gongoweo dondoweo dondoweo" halafu inamalizia kwa kuitikia "iye iye iye iye"...
Hapa upangajini tupo wapangaji takribani 8 na tunaishi na baba na mama mwenye nyumba
Baba na mama mwenye nyumba maisha yao yote wamebahatika mtoto mmoja tu na ndo huyo yupo na age kama 25 hivi jamaa kasoma hadi fom 6 utundu shule na tabia mbovu zikamfukuzisha shule yupo tu mtaan ni muhuni na...
Nikitoka kufanya mapenzi na manzi yangu kichwa cha uume wangu kinakuwa chekundu sana saa zingine nikienda tu haja ndogo.
Nilienda hosptal wakasema nina UTI sugu maana muda uliopita nilikwenda baada ya kuona nakojoa vitone vitone vyeupe kama maziwa yaani nikianza tu kukojoa natokwa na hiyo...
Salute sana watumiaji wenzangu wa jamiiforum aka wanamember...
Nilileta uzi huu hapa nikizungumzia mateso niliyokua napata ya fungus za sehemu za siri nilivyokua nateseka
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1585683/
Niliteseka sana na hizi fungus nilikua nawashwa na uume na sehemu...
Natafuta ajira ndugu zangu nimesomea maendeleo ya jamii (community development) kwa level ya diploma
Nipo tayari kufanya popote Tanzania
Natanguliza shukurani
Wasalaam wanabodi
Nimehitimu chuo mwaka huu mwezi wa saba
Natarajia kufanya mahafali ya uhitimu wa diploma yangu mwezi wa kumi na moja
Nina certificate of community development,
Pia nina Diploma of community development
Ninaomba kazi kwenye shirika au taasisi yoyote
Kwa mshahara wowote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.