Wakuu mnakumbuka nilileta huu uzi hapa jukwaani[
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1904366/
emoji1313][emoji1313]basi huu ndo mrejesho wangu
Mrejesho:Nilichelewa kuja kutoa mrejesho humu ndani kuhusu kidonda changu Lakini baada ya kutoka hapa niliuchukua ushauri nikaenda hospital...
Mrejesho:Nilichelewa kuja kutoa mrejesho humu ndani kuhusu kidonda changu Lakini baada ya kutoka hapa niliuchukua ushauri nikaenda hospital ambapo kwa bahati mbaya niliambiwa Bima yangu haijawa activated hivyo nikakosa huduma..
Halaf hichi kidonda hakikuwa na association yoyote au uhusiano na...
Mficha maradhi kifo humuumbua nimeweka na picha
Kilianza miezi 3 iliyopita kama kipele tu sasa hivi ndo kama unavyokiona
Hakiponi kabisa nilijitahidi kukanda na maji moto na chumvi lakini wapi
Kinakaa kinavimbia utadhan usaha kumbe kinavimbia damu tu
Nakosa hata raha ya kuwaza kushiriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.