Mimi ni mshiriki mpya katika jamii kubwa hii ambayo ni darasa kuu la wanajamii ktk kuleta ufahamu kwa njia ya kuhabarishana yaliyo bayana na kweli ili kujenga jamii inayojitambua ilipo na inakoelekea kwa kupembua magugu na ngano katika nyanja zote za kijamii kwani hakuna darasa kubwa limpasalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.