Biashara Ina Siri sana wasiojua Siri hiyo wanahangaika sana...kamwe usivunje bei wakati wewe ni small scale business in the long run utaumia vibaya mno. Wanaoweza hivo ni akina dewji na bakhresa
Duh vita ikianza huko ,huku patasahaulika kifuatacho ni kimmbembe maana utashanga Rwanda anaitaka Kigoma nasie tunaanza kukipiga..mungu tuepushie mbali
Hiyo kesi ngumu,Sasa polisi utawaambiaje ?akisema mlikua mnadaiana,je?Kaushia tu hiyo maana kibao kinaweza kukugeukia sababu njia kwanza uliotimia kudai si sahihi ni udhalilishaji.ohoo utaumia tafuta nyingine tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.