Petroli bei juu, umeme hali kadhalika,kodi za nyumba balaa,mchele na nyama ndo usiseme, makanisani sadaka juu wanataka noti sio sarafu.Mahari/posa nazo hatari, school fees utadhani unanunua shule, nauli ya mabasi nayo balaa.Je hii ndiyo HAPPY NEW YEAR 2013 tunayotakiana au ni HEAVY NEW...
Katika msiba huu kuna tetesi kuwa mtu huyu hakuwa raia wa tanzania.Utata na uzushi huo ulianza mara tu baada ya kifo chake.Baada ya utata huo ulianza mara iliposemekana kuwa atazikwa Nairobi kwani ndiko wazazi wake wanapoishi.Ghafla tena mchana huu ikatoka taarifa kuwa anazikwa mchana huu...
Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.Nina wasiwasi na brain capacity yako.Kikwete anapokuwa anazindua barabara sehemu mbalimbali nchini yeye ni Mhandisi?Huu ni uzuzu wa ajabu.Haihitaji kuwa mhandisi ujue kalvati au mtaro umejengwa chini ya kiwango.Ni akili ya kawaida tu inatosha.
Ni jambo la ajabu sana kwa wana JF wengi kuendelea mtu mmoja kama vile bila huyo mtu basi hakuna ukombozi.Tuchukue mfano mzuri wa afrika kusini katika kupigania uhuru wake toka kwa kaburu, kulikuwa na wanafiki wengi na wenye mapenzi ya dhati ya ukombozi ambao damu zao zilimwagika na leo...
KUNA watu wa ajabu sana. Katikati ya mazungumzo mazito juu ya masuala kama ya uchumi, familia, elimu au mwelekeo wa nchi kisiasa, utasikia wanaingiza hoja mfilisi ili kuharibu hoja.
Mathalani, wasomi wanaweza wawe wanajadili mchango wa gesi, mafuta au urani katika uchumi wa nchi, utasikia mtu na...
Katika taarifa ya habari ya jana saa mbili usiku katika Star Tv, mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi alijitapa kuwa ifikapo mwakani wataajiri walimu 25000 nchi nzima wa shule za msingi na sekondari.Aliendelea kujitapa kuwa walimu hao watalipwa na serikali ya ccm.Ni lini watumishi wa umma walishawahi...
"Tanzania has (a) good land for agriculture, forest products, tourism and mining. But this 'good' land, which directly supports the livelihood of the majority of Tanzanians, can also be a curse with weak governance and investments that do not favor communities. Fortunately, civil society is...
"Land has been a hot topic in Tanzania over teh last several... years. Stories of land grabbing, corupt land deals-, non-transparent investments and even displacements have been increasingly in newspaper articles and street-side conversations. In fact, tow former presidents were accused of land...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.