FAABI Electrical Service Provider tunahitaji Electrical Engineer wa kufanya naye kazi kwa makubaliano maalum.
Awe amesajiliwa na body ya engineer nchini (ERB)
Kwa aliye tayari atupigie kwa namba hii:
0787577755
Habari wadau! Nahitaji hiyo Common Interface card
kwa ajili ya Tv yangu niweze kutumia smart card za
pay Tv via Digital Tv.
Kama kuna aliye nayo naomba anicheki hapa
0787577755 au kama kuna anayejua nitaipata wapi
kwa Dar es salaam naomba anifahamishe.
Wakuu! Naomba msaada kwa tatizo hili:
Nina Tv tajwa hapo juu Ina king'amuzi ndani (DTV) tatizo kubwa nikitafuta Tv ambazo zipo kwenye Digital (Search) huwa zinaingia ila tatizo Siwezi kuziona na Tv inaandika Content Scrambed!
Je, nifanye nini niweze kuona hizo Tv pasipo kuingia Gharama ya...
Line ya tigo pesa inauzwa ipo Dar es salaam.
Bei ni 450,000
Haina utapeli na utahakikishiwa baada ya kufanya biashara.
Kwa atakayehitaji tuwasiliane hapa:
0787577755 au 0717577755.
Karibuni!
Kuna mgomo mkubwa unafukuta ndani ya Tanesco. Wafanyakazi karibu idara zote wamegoma hapa Tanesco Mbezi Na Tanesco Magomeni.
Tatizo kuu ni makato yasiyoeleweka ndani ya mishahara yao, mishahara midogo na kukatwa over time zao huku hali ya maisha ikiwa ngumu na wafanyakazi wakitakiwa...
Digital camera still picture
inakodishwa kwenye shughuli
mbalimbali mfano Harusi, Send off
part, mahafali ya kumaliza shule au
vyuo inakodishwa katika hizo sherehe
kwa atakayehitaji asisite na bei ni
nafuu sana. Kwa mawasiliano zaidi
nipigie kwenye moja ya namba hizi:
0787577755...
SIFA ZA SIMU HIZI HAPA:
General 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 900 / 2100
HSDPA 1700 / 2100 - American version
SIM Mini-SIM
Announced 2009, February
Status Available. Released 2009, May
Body Dimensions 113 x 55 x 13.7 mm (4.45 x 2.17 x 0.54 in)
Weight...
GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 900 / 2100
HSDPA 1700 / 2100 - American version
SIM Mini-SIM
Announced 2009, February
Status Available. Released 2009, May
BODY Dimensions 113 x 55 x 13.7 mm (4.45 x 2.17 x 0.54
in)
Weight 118.5 g (4.16 oz)
DISPLAY Type TFT...
KUNA WIZI MPYA UMEANZA KUSHIKA KASI HUMU HASA WANUNUAJI WENGI AMBAO NI MATAPELI.
Wakuu heshima kwenu wana jukwaa,
Kuna wizi mpya wa simu umeingia kwa kasi ya ajabu kuna watu wanachukua namba za simu za muuzaji wa simu kwenye wall au anaomba PM anakupigia na kukwambia anahitaji hiyo simu...
SIMU TAJWA HAPO JUU INAUZWA 160,000 NI NZIMA NA INAFANYA KAZI VYEMA.
TATIZO NI VOLUME BATANI YA KUPUNGUZIA SAUTI NI NGUMU KUPUNGUZA NA BETRI YAKE HAIKAI NA CHAJI.
MAWASILIANO: 0787577755.
SPECIFICATION ZAKE HIZI HAPA:
General
2G Network
GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network
HSDPA...
Specification:
General
System Type Notebook
Operating System Microsoft Windows XP Professional
Processor / Chipset
CPU Intel Celeron 2 GHz
Cache L2 - 256 KB
Front Side Bus 400 MHz
Chipset VIA ProSavageDDR P4N266
Memory
RAM 256 MB
Max RAM Supported 1 GB
Technology DDR SDRAM
Speed 266 MHz /...
Wadau wa jukwaa hili natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Ubungo, Changanyikeni, Makongo juu, Mwenge, Kijitonyama, Mabibo na Kimara.
Bajeti yangu inaanzia elfu 40 mpaka 50 kutegemea na ubora wa chumba.
Kodi Nitatoa kuanzia miezi 6 mpaka 9.
Mwenye nacho anicheki hapa 0787577755 au PM.
Pikipiki tajwa hapo juu ambayo imetumika miezi 3 tu tokea inunuliwe dukani na hajawai kupata ajali inauzwa.
Bei ni. 1,750,000
Ipo Dar es salaam.
Mawasiliano kwa atakayehitaji:
0717577755 / 0787577755
Wadau wa jukwaa hili naomba maelekezo jinsi ya Ku upgrade hiyo simu kutoka 2.3.1 Android kwenda 4.04 na kuendelea kwenye Android.
Natanguliza Shukrani!
Karibu nami mi ni fundi umeme mwenye uzoefu kwa Mawasiliano tuwasiliane kwa namba hii 0787577755 au tembelea group langu ndani ya Facebook na search Faabi Electrical Installation. Utapata kuona kazi zetu nyingi kwenye group hilo.
Hongereni HELSB kwa kuendelea kutunyima mikopo sisi ambao tuliomba mwaka jana na kutunyima na tumekata rufaa pia rufaa zetu zikatupwa bila kutolewa maelezo. Tumejaribu mwaka huu tukiwa na attach zote kutoka vyuoni lakini cha kusikitisha bado tumekosa hiyo mikopo. Sasa basi hizi lawama za sisi...
Samsung Nexus S inauzwa Bei 230,000. Mawasiliano 0787577755 au 0717577755.
Specification zake hizi hapa chini!
us
S review: Royal droid
Read opinions
Compare
Pictures
360° view
Related phones
In the news (new)
Manual
CHECK PRICE
WElectronics
Popular Electronics
Negri Electronics
uSwitch (UK)...
Simu tajwa hapo kwenye headline inauzwa ni Adroid system na inatumia line zote pasipo kuchagua. Bei ni 120,000
Kwa atakayehitaji piga namba hizi 0787577755 or 0717577755
Bei haishuki!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.