hatimaye Tanzania aft 5 yearz to come watu wenye degree hawatapata ajira wataishia kufundisha shule na nchi itakuwa pabaya hi ni kutokana na output ya graduates kwa wingi
Ndungu wana JF kwa wanaojua mfumo mpya wa Law scul. Hivi imeanzishwa kwa watoto wa Vigogo ama?? Kila intake utakuta wanafunzi wa UDSM wa 5 au kumi na hawa ndo choka mbaya wengi wao ila Utakuta Tumaini 100 SAUT 100 Na vyuo vingne eti kwakuwa wao wanaweza lipa in Cash. Swali kama bodi imemsomesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.