Leo tarehe 17.11.2018,ni mahafari ya 11ya chuo cha kikatoliki Mwenge yanayofanyika katika viwanja vya kanisa la mtakatifu Thadeo Mwenge.
----------------------------
11: 38am
Kwa sasa maandamano ya wanataaruma na mgeni rasmi ndo wanaingia ukumbini wakiongozwa na brass band ...
leo mida ya saa nane nimeshtuka baada ya kufungua kock ya maji muwasa na kuona yanatoka maji machafu . sjiu maji taka na maji saf yanaingiliana? Na kama ndo hvyo hal ya afya ya watumiaji itakuwa je? ..wafatalie mapema kabla ya makubwa kutokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.