kuna mtu amenunua till ya mpesa kwa mtu na baadae imezingua na kuonyesha emmegence muda wote na hana detail za hyo lain ..pia kuna hela sijui mnaweza kumsaidia je ?
sawa n hatua nzuri sana lakini mkubuke hatuna access na server ya whatsapp..hv wataalamu wa IT hapa tz wanashidwa kutengeneza forum website ya server yetu na kutengeneza app yake ..tukaacha utegemezi jaman
mm huwa najiuliza hivi watangazaji wana elimu gani mpka wanaitwa kuwauliza maswali watu wakubwa kama raisi au waziri mkuu, sijui maswali wanayaandaa wao ? au kuna kamati inayoandaa maswal maalumu ya kuuliza? ..
mm nahic njia sahihi n kutoruhusu mjadala wwte wa unaohusisha neno ushoga ili tusipate kulisikia wa kulifatilia hata katika mitaala ya shule homosexuality ifutwe ..n bora tusijue kuliko kujua na kutaman kujaribu .
kuelewa kitu kunatokana na utayari wa mjifunzaji..afu pia mwl habebi maarifa aliyo nayo na kuyaingiza kichwan mwa mjifunzaji bali anamuwezesha mjifunzaji kuelewa ..
mbona hyo ya kudeposi tsh 1000 kwa ada za shule kupitia CRDB ipo tangu zamani mm nimedeposit ada yangu mwaka 2009-2012 na nikatoa hela ya deposit ili branch ya CRDB karagwe..sasa sijui n wizi au ndo utaratibu wa baadhi ya branch zao
shule zetu za st..kayumba mtt anafundiahwa topic moja mwk mzima then ndo anafaifanyia mtihan na anafaulu tu ikija
NECTA hana lolote. TUTAZIDI KUONGOZWA NA KIZAZI CHA WALIOKWISHA KUJIKOMBOA KAMA WANASIASA MAANA WATOTO WAO WAPO SHULE BIRA WANASOMA AFU WW MWANAKIJIJI UNAAMBIWA CHANGIA MWANAO ASOME...
ukwel unauma sana ..pole bunge kwa kuhisi majeraha ya watu makini .nachosubiri ni data na interpretation ya data toka kwa CAG na Mdee .lakin watambue kuwa kila wanachofanya wanaonwa .
hv huwa kuna siku maalaumu na saa maalum ya kurudisha form NEC ..afu kwa nn NEC isitoe sample ya jinsi ya kujaza form au sample wanayo ccm? .kwa nn wapinzani ndo wanakosea kujaza? na je hzo form zipo kwa kimombo kigumu au kiswahili? .au mgombea wa ccm ana form tofaut na wa upinzan ? ..form ya...
hongera sana mh.zitto lakin kumbuka kusoma hakutaacha alama katika jamii yako bali kusoma na kuandika ndo kunaacha alama, andika pia mkuu au mm ndo sijui vitabu uloandika?
Bado mnashindwa kueleweka kwa bawdhi watu kutokana na sera yenu kuwa mrengo wa kati maana watz weng wanaaimin mpinzan hawez sifia jaribu kufuta hii thinking ya watu, pia presentationyenu ipo in reserch form sina hakika kama weng tunawez kusoma reserch na kuelewa bas kama ndo mfumo wenu unique wa...
Mb n tatizo ila suruhisho kwa sasa n kudowload app ya freebasics soma bure kama gazeti la mwananchi .jf suppersports na nyingine sema bbcswahili ndo wameitoa ila huko n free ndg ..
Haya yanaweza kuwa n matokeo ya mitaara ya theory tu mtu kasoma ict hawezi multmedia mfano video editing , haruhusiw kupost youtube au kuwa na blog pia jamii imeaminishwa na wanasiasa kuwa lazima kusoma sana ndo ufanikiwe. Lakin pia hata wanachuo bum linawazingua hadi wanajiona hadhi hvi ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.