Wapendwa leo kuna tukio la kuhuzunisha limenitokea. Nilikuwa nimesimama maeneo ya Ubungo nikisubiri gari, ghafla nikamuona mama mtu mzima analia kwa sauti kubwa, mda huo huo nilikuwa nimeshika simu yangu nachati na mtu. Ikanibidi nisogee karibu ili nijue ni nini kimemtokea yule mama, kumbe yule...
Habari za Leo wanajamii forum? Naomba mwenye kujua chuo cha ualimu kinachotoa cheti cha elimu maalumu tukikiondoa chuo cha pandandi Arusha je kuna chuo kingine? Naomba mwenye kujua unaweza kunipa taarifa kupitia hapa kwa kubonyeza hapa chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wanajamii juzi kati kuna demi alikuja ghetto, kiukwel nilimnyonyo chuchu zake baada kumaliza tendo la ndoa nilishangaa kuona kidonda tetesi za kitaa demu ni mwathirika je naweza kupata ukimwi
Habari za leo wanaJamiiForums?
Mama Mkwe wangu anaomba nimkopeshe laki tano kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yake. Samahani sana mwenye ujuzi wa kudai ukweni anipe njinsi ya kudai ukweni kabla sijakopesha.
[emoji113]Kuna baadhi ya wanaume wananyanyasika kwenye mahusiano, Upendo wanao mwingi ila pesa inafanya washindwe kujivunia upendo walio nao. Ni dhairi kizazi cha sasa wanawake wengi wanapenda pesa kwenye mahusiano, kabla ya kuangalia upendo.
[emoji117]Najua kuna vijana wanaupendo wa dhati...
Habari wana jamii forum.? Mimi sina mwezi kujiunga jamii forum ila kwenye Facebook nina miaka mitano kutumia mtandao wa FB ila kuna utofauti mkubwa jamii forum hipo juu kuliko FB ukiwa na tatizo lako lete jamii forum na nilichogundua watumiaje wengi wa FB ni mataira,wendawazimu.unajua huwezi...
Habari gani wana jf kwa kifupi mimi ni dereva bodaboda kama unavyotambua kazi zetu zina changamoto nina mteja wangu anafanya kazi benk fulani hapa Dar-es-salaam jamaa huyu ni kicheche wa kufa mtu alinipenda sana kwa sababu sijawai kuwatongoza mademu wakati nawapeleke na kuwarudisha tofauti na...
Ndugu kwa kifupi nilifungua group LA WhatsApp LA wachumba members walikuwa wengi kiukweli nilitokea kumpenda Dada mmoja kiukweli alikuwa mrembo sana nilitumia uadmn kumremoved haukuchukua hata dakika alinifata inbox chanzo cha kumremoved nilimwambia Ukweli kuwa nimekupenda tukaanza kutumiana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.