Kwanza kabisa natanguliza shukrani kwa jf nzima kwa namna inavyosaidia kubadilisha maisha yetu, jf ilinisaidia kupata kazi enzi hizo nimemaliza chuo kikuu.
Baada ya shukrani naomba mdada mzuri anayeishi Dar ambaye yupo tayari kufanya maisha na mimi awasiliane na mimi kupitia 0654 531 647. Sina...
Mimi ni kijana wa miaka 28 sasa, Nina elimu safi ya chuo kikuu kutoka moja ya vyuo maarufu hapa nchini. Kwa sasa nafanya kazi katika taasisi moja ya kimataifa (USA based organization). Nishakuwa na mahusiano na wanawake kadhaa huko nyuma ila mahusiano mengi yalivunjika kwa kuwa nilikuwa sana...
Mimi kwa sasa sielewi, hawa chadema wamejitoa au hawajajitoa? km hawajajitoa ni ugumu gani wanaoupata wa kutueleza wananchi ni nn haswa ni hatima yao juu ya huu mchakato? tumesikia jana warioba anaendelea kuunda mabaraza na wao wapo kimya. Hiyo kamati kuu tuliyoambiwa itakaa hatuisikii inakaa...
Habari ambazo ni tetesi zinasema kwamba umoja wa mashirika yasiyo ya kiserikali yakishirikiana baadhi ya wanasheria nguli hapa nchini wapo katika hatua za mwisho kuandaa kuweka court order itakayozuia utekelezeji wa kauli ya serikali ya kufuta matokeo mpaka hapo kesi ya msingi itakapoamuliwa na...
The foreign reporters came to Kenya to cover the General Elections and are expecting violence like 2007/2008 but Kenyans have maintained peace throughout the electioneering period.
Yesterday, CNN which has sent numerous reporters posted a story about Kenyans preparing for violence somewhere in...
Wadau hotuba hii ilikuwa nzito sana na imeacha impact kubwa sana na mjadala mpana kwa mambo mbalimbali, please km kuna mtu ana video yote namuomba aniwekee hapa ili niwe naisikiliza kila siku.
asanteni sana
Wadau
Siku ambayo Ulimboka atarudi tz tukampokee kwa wingi airport na tumbebe hadi jangwani aweze kutusimulia kisa kizima,
Hatutaki polisi waseme hadi tuwe na kibali kwa kuwa ni watu wengi wamekuwa wanapokelewa airport bila kibali, mfano Juzi tu prof Lipumba kapokelewa airport hadi manzese, si...
Ndugu zangu na masikini wenzangu ambao hatuna mtu tunayemjua katika kipindi hiki kigumu cha kupata kazi ili atusaidie kupata kazi tuna wakati mgumu sana wa kufanikiwa.
Mimi ni mmoja ya watu walioiywa kwenye aptitude test kesho IFM lakini nimesikitishwa sana nilipopata taarifa kuwa test hiyo...
Itakuwa busara cdm wakikataa kumpokea huyu kijana kwa lengo la kumsimamisha kuwa kugombea ubunge labda awe mwanachama wa kawaidi kwa sababu zifuatazo:
1. Mkosamali ana uwezo wa kawaida sana kiasi kwamba atawasumbua wakati wa kumnadi labda angekuwa na uwezo km wa kafulila angefikiriwa...
Wana JF
Huyu kamanda wetu amekuwa na tamaa sana za kuwa rais hata kabla ya umri kiasi cha yeye kutengeza makundi ndani ya chama. Watu km hawa wanaoacha kutulia na wenzao na kuwaza madaraka tena makubwa mara nyingi hawaupati. Amwangalie Lowasa toka aanze kuutafuta hadi leo bado na...
Wadau,
Ni wakati watanzania kwa ujumla tujiulize ni nini majukumu ya mamlaka ya bima Tanzania (Tanzania insuarance regulatory authority) inapaswa kuyafanya juu ya maafa mazito yaliyowakumba wazanzibar.
Kisheria kila meli lazima iwe na marine insurance ambayo inawa-cover kila mtu aliyejeruhiwa...
Wana JF
Kwanza na-declare interest mm ni mfuasi na mwanachama wa CHADEMA, Hili swala la Marando kuwa wakili wa baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi km vile manji na mahalu litakuja kuwa na madhara makubwa sana hapo badae ktk harakati za chama za kuchua dola natambua kabisa ile ni professional yake...
Wadau,
Nimekuwa na hamu na shauku kwa muda mrefu kuwafahamu kwa majina na ikiwezekana kwa nyadhifa zao wajumbe wote wa kamati kuu ya CHADEMA, wachache ninaowafahamu ni Mtei, Bob makani, mbowe, zitto,kitila,marando,baregu,safari. Naomba mnitajie wengine
Wadau
wakati wa kipindi cha bunge cha leo Letcia Nyerere alitaka Mkulo ataje makampuni yaliyopata pesa za stimulus package, Kilichonishangaza ni pale spika aliposema "Wizara mmeniangusha kwa kuwa mlipewa miezi miwili", Najiuliza kwani yeye ni sehemu ya serikali? au hajijui kuwa yeye ni...
Wadau,
CUF leo wamemtangaza mgombea ubunge wao wa jimbo la Igunga, cha kushangaza leo leo NCCR nao wanajitokeza na kusema wao wataunga mkono mgombea wa upinzani atakayesimamishwa, Najiuliza hapa hakuna mchezo mchafu wanaoupanga dhidi ya chama cha kweli cha ukombozi wa Tanzania (cdm) ili badae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.