WAMPUMBULYA GYUNDA Form 1 2002 Kibiti sec
WANZALILYA DAUDI Form 1 2002 Kibiti sec
KICHOHE NKANABO Muhitimu form four 2004 Kibiti sec
NDUHILUBUSA MAPIGANO Muhitimu form four 2004 Kibiti sec
Nimeenda eneo la tukio , panaitwa Ngongwa km15 kutoka kahama mjini kuelekea Rwanda-Burundi-Ngara-Bukoba.
Basi limegongana na sem, Kulingana na habari za mashuhuda basi lilikuwa linatoka Dara kwenda Bukoba. Lililala Kahama mjini na saa 12:00 lilitoka kahama kuendelea na safari. Hapo ngongwa...
Nina tatizo moja kubwa wadau.Mimi sio mjamzito lakini huwa natafuna sana mchele mbichi nimeshajaribu kuacha lakini nashindwa kabisa. Naomba ufafanuzi wa sababu,madhara na tiba ya tatizo hili.Asanteni
Siku ya mtihani wadarasa la saba, form njuka wanakatwa mikia ili kutoka kwenye hali ya viluwuluwi na kuwa vyura kamili. Yaani form njuka watukutu walichezea kichapo balaa na uongozi wa shule uliruhusu. WALIOSOMA KIBITI SEC WANAELEWA HIYO.
Senene ni wadudu jamii ya panzi ambao ni chakula kitamu na cha heshima ambacho hutumiwa na watu wa Ukanda wa ziwa victoria hasa mkoa wa Kagera. Wadudu hao huvunwa wakati wa msimu wa mvua hasa mwishoni mwa mwaka.Katika purukushani za mavuno ya wadudu hao mtu mmoja inasemekana amefariki dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.