Ni kweli,kama sasa hivi wamefika Pwani na Morogoro,na wakiingia tu wale kunguru native wenye alama nyeupe kifuani wanawakimbia maana pamoja na wao kuwa na umbo kubwa hawa weusi wanashambulia mayai na makinda yao. Ni tatizo sana
Salaam wakuu, hawa kunguru Dar wamekuwa sio tishio kwa viumbe wengine kama ndege n.k kwa kula mayai na vifaranga vyao, lakini pia wanasumbua binadamu kwa kelele, uchafu, kula mifugo yao kama vifaranga vya kuku, watu wa mazingira, ecosystem mko wapi jamani?
Binafsi nimejaribu kila sumu hawafi...
Mtoa mada I'm sorry to say lkn ww ni mtu unayeweza kuwazarau hata wazazi wako na kuwatamani wa jirani au wazungu,just in your own profession jilinganishe na wa US be you a politician,lawyer,banker etc. We in UN,Africa,EAC are very proud of TPDF,never failed,since Liberation...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.