Nina ushawishi wa kusaidia mtu kupata leseni lakini hadi sasa sijasaidia ndugu yangu hata mmoja. Akinifuata namwelekeza chuo cha udereva, aanze na leaner. Wameniita mjerumani kwa kuwaelekeza usahihi wa mambo, wala hata sijali. Maana hata mimi sikujifunzia mtaani, nimesomea chuo mwezi mzima
Drive safely. 80kph unafika uendako raha mstarehe kabisa. Hakuna sababu ya kutembea 120-160/170, unawahi nini nyumbani? Magari yetu yamekuwa makaburi yetu, kisa nilitumia saa chache sana kufika home
Ngoja waoneshane makali. Sasa Generali mzima anapigwa risasi na waendesha pikipiki na wanaondoka? Huku Tanzania generali wa jeshi ana ulinzi wakati wote
Mkuu, kwa kuwa kenya inazuia watanzania kuingia kenya, soon tutafuta working permit za nyang'au waliopo nchini mwetu. Huyo babu lzm tumrejeshe Kenya, Kahata tutamfikiria
Mkuu nitake radhi. Yaani mie wa kunipa uraia wa nchi yenye corona? Niombe radhi.
Kuhusu mwaliko, mie mwananchi siwezi kuja kuona shoo ya watu wanasubiri pension. Unadhani kwa nini mmealika Vital O no 6 badala ya Mesenger Ngozi no 1 au hata Musongati no 2?
Mnataka kuficha aibu ya wazee wenu
Kenya mna bajeti za ajabu duniani. Unalenga jutumia bilion 26, lakini uhalisia unatumia bilion 10, 16bil zinaliwa na majizi ya kenya wazee wa pen moja kununuliwa ksh 500
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.