Search results

  1. D

    Ushauri: Nimegundulika kuwa na High Blood Pressure. Je, nifanyeje kuhimili hali hii?

    Kama ulienda hospital hukupewa ushauri huko kwani?.anyway..kama umegundulika una pressure ya juu(sijajua ilikuwa juu kias gan kutoka kiwango cha kawaida).ushauri ni kupunguza stress.kupunguza matumiz ya chumvi(muhimu sana )kutovuta sigara.kupunguza pombe..kufanya mazoez..kama pressure haiko juu...
  2. D

    Mwanafunzi mwaka wa 5 MUHIMBILI ajiua

    afu we tofali unaongea kama una uhakika vile..umetoa wap hizo taarifa kwamba amefariki.kuwa na uhakika kwanza sio unaropoka vitu serious kirahisi tu.
  3. D

    Angalizo kwenu . . .

    Na ubinadamu(utu) ukikutoka je?.....
  4. D

    Madaktari na serikali kuanza mazungumzo wiki ijayo

    ok,lets hope the best comes out of this,not another drama..
  5. D

    B.Sc HUMAN NUTRITION ina uhusiano na udaktari?

    ya inauhusiano hasa katika swala la tiba lishe hapa Tanzania inapatikana SUA.
  6. D

    Falling in love...

    Daah LIZZY noouuma..nakukubali yan..thread zako zinahusika kichiz.thanks for that!
  7. D

    Umeme umezima kote?

    Muhimbil umezima
  8. D

    kwani mimi nikikugusa au kukushika mkono unapungukiwa nini?

    Kaazi kwelikweli..heshima mbele mapenzi nyuma
  9. D

    Nikikupa Millioni 20 Utazifanyia nini?

    Duh kwaiyo umeoa na kuolewa au?
  10. D

    Pamba za masikio ni mbaya.

    Mimi mwenyew kuna mda mackio yalkuwa yanasumbua sana na kujaa wax,nlitumia sana hizo pamba plus boric acid lakn wapi..mpka cku prof wang alipotutolea mfano darasan kuwa "ng'ombe pia wanatoa wax lakin ushawah muona ng'ombe anachonoa maskio yake na pamba?"..tokea hapo nikaachana na pamba.mpka leo...
  11. D

    doctor saidia hapa please

    Kawaida hiyo,kuna homornal changes ambazo zinapelekea hali hiyo kwa kina mama waliojifungua/miez ya mwanzo kwa mama anayenyonyesha!
  12. D

    The Fall of the United States

    Duu,balaa
  13. D

    Ministry of health post graduate sponsorhip-list is out

    Ivi ni kigezo(vigezo) gan vya msingi wanavyozingatia MOH mpaka wakupe sponsorship..kwa anayefaham tafadhal
  14. D

    ..ni gharama saaana kuanzisha uhusiano mpya!

    Wala hakuna gharama kama ukipenda..kwanza raha 2 wen starting a new relationship..ful raha especialy kama umepata kweli unachohitaji(mpenzi)
  15. D

    Kaolewa ila ananitaka nifanyeje?

    <br /> <br /> sawa kabisa,umesema safi apa..
  16. D

    Jf doctors naombeni msaada kwenye hili la bikra....

    Bikra ni ile hali ya mwanamke kabla hajafanya na mwanaume yeyote tendo la ndoa,mara nying wasichana wengi huwa na ki2 kinaitwa 'hymen',ni layer lain kidog inayofunika kwa ndan ya uke,kwahiyo anapo do kwa mara ya kwanza uume hutafta njia na kuifanya hymen iachie,mara nyng dam hutoka na hapo ndipo...
  17. D

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    <br /> <br /> teh teh teh,hiyo galaxy balaa
  18. D

    Hili la Igunga ni doa...!

    Hizi taarifa zina ukweli wowote ndani yake? Yangu macho na maskio..
  19. D

    Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

    Kila kwa nafasi yake hawajibiki..tuanze uwajibikaj sis kwanza co kulalama kila kitu.dereva anaongea na cm,gar mwendokas hakuna anayemuonya(abiria),tunaishia kulalama tuuu.pole kwa walopata ajali..
  20. D

    questions you can never answer

    Teh teh teh,4rm 2dy il b pointing at the 'bum' wen askn 4 a toilet!
Back
Top Bottom