This is special to föotball Nazists to air your views on man u squard vs arsenal who is going to win on sunday game in OT ? as archy enemy clubs in english premiear league!
Njemba tano zilikuwa zinawania ubingwa wa kunuka dhidi ya beberu(mbuzi dume) kila aliyeingia mlango uridushiwa jamaa wa kwanza aliingia kwa muda usiopungua sekunde 56 akatoka mbio na kuliacha beberu,hivyohivyo kwa washikaji wengine watatu waliukimbia ulingo! Lakin njemba ya mwisho ikaingia...
Jaman wana jf nina tatizo moja kwamba kila msichana ninayeanzisha naye mahusiano ya kimapenz huwa hajatulia na mpaka sasa nina miaka 23 nahitaji mchumba wa kufumga naye ndoa je nifanyeje?
Mi napata mashaka kidogo!?huyo jamaa isijekuwa wanafahamiana na huyo mama au alimpa mimba mama huyo wa watu akataka kukimbia ikabidi atumie njia ya kumpa mtoto wake kwenye dala dala alafu baadae akamtaarifu kuwa huyo ni mwanao!!kwa hali ya kawaida si rahis mtoto wa kiume aachiwe mtoto then...
Hey leds and gentlemen i greet u in the name of jamii forum as platform 4every counscious person 2air his/her views and am so interested to join plz may we be togather 2bring +ve changes in our societies ?2gather we can let us put our hands 2gather!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.