Hello ndugu zangu kwa wale walioitwa kwenye usahili halmashauri ya mkuranga tupeane moja mbili tatu ndugu zangu..,mimi nipo Arusha nitafika huko soon
Sent from my SM-G781U1 using JamiiForums mobile app
Habari zenu ndugu zangu jamani nisaidieni Abc namna ya maswali yanavyokuwa, technic, na jinsi yakujibu
Nafasi:Mtendaji wa kijiji daraja la III
Sent from my SM-G781U1 using JamiiForums mobile app
Habari zenu wakuu,
Moja kwa moja niende kwenye mada, nipo kwenye mahusiano na binti mmoja sasa ni mwezi wa 4 na pia kiumri ni kama tumelingana sasa kwa sasa nipo nje ya mkoa ambapo binti anaishi ila wakuu nikama simuelewi hivi yani nisipo mtafuta na yeye anitafuti kila mara lazima mimi ndie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.