Habari wadau,naomba kujuzwa radio za mwanzo za FM usikivu na nguvu ni kubwa tofauti na ziliozoanzishwa hivi karibuni,je mitambo iko tofauti au sababu ni nini?
Habari wadau,kumekuwepo taarifa kua mkataba wa kisheria ukiwa na dosari unakosa uhalali wengine wanadai unaweza kua na dosari lakini bado uko sahihi je hili likoje?
Habari wadau, naomba kujuzwa kwanini kumekuwepo na mfumo wa aina mbili kupata matangazo ya runinga yaani dish na antenna lengo lake ni nini ikiwa matangazo ni yale yale?
Na gharama zikoje kuendesha hiyo mifumo kwenye kampuni husika?
Habari ndugu zangu, nawaomba ndugu zangu naomba wakenya mnisaidie hivi jubilee ni chama kimoja au muungano? Na mfumo wa viongozi ukoje au taasisi zake zikoje hasa kimuundo?
Karibu wadau
Hanari wadau wa soka,naomba anaejua sheria 17 za soka atililike hapa kwani nahitaji nizijue sheria hizo,nitashukuru wadau karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau,
Naomba wataalamu wa sheria mnisaidie nina dukuduku la kufahamu katiba za nchi mbili hizo kwani nilisikia vingi mfano eti UK katiba haijaandikwa nilishangaa mno.
karibuni wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau,
Mwaka huu 2020 ni mwaka wa uchaguzi, niliwahi sikia kua kama ulifungwa miezi zaidi ya sita huna sifa ya kugombea jee iwe jinai au madai adhabu hiyo?
Wadau nisaidieni jambo hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari hivi karibuni Mahakama ilitengua matokeo ya uchaguzi huko Malawi, sijajua nini kinaendelea huko kwani kimya mno, anayejua alete habari za huko natamani nifahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za leo, jana au leo nimesikia kuwa nchi ya Togo ina uchaguzi,sasa nimeshangazwa kuwa baba wa rais wa sasa alikuwa Rais kwa kipindi kirefu si chini ya miaka 24, je huyu wa sasa yuko kwa muda? Je hiyo nchi katiba yao ikoje na maendeleo yao kwa ujumla yakoje huko?
Karibu wadau mjazie nyama...
Habari wadau,imekuwepo zogo hapa nilipo kijiji kinataka kutengeneza barabara jee wananchi wana waki walipwe au iweje kwa mujibu wa sheria?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau,hii luninga imeanza sio miaka mingi hapa nchini kurusha matangazo jee kwa sasa inapatikana kwenye kisimbuzi gani? Napenda sana uchambuzi wa michezo na mechi walizokua wakionyesha, wenye kujua hili karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau,
kumekuwepo wimbi la wachambuzi wa mpira hasa wa miguu hapa nchini. Je wewe yupi unamkubali, na kwa vigezo gani?
Ainisha hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau,mala nyingi hua napenda kufahamu katiba za nchi mbambali sasa hizi nchi kubwa historia yake zisifahamu zilitungwa lini? Wenye uelewa karibuni mnielimishe suala hili karibuni...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.