Jaman habarini na poleni na fukuto msaada jamani eti mtu akikufanyia jambo akiwa kalewa ina maana pombe zikimuisha hawezi kumbuka kitu ambacho alikikifanya akiwa kalewa?
Maana kuna ndugu yangu huyo kuna kitu kakifanya akiwa kanywa ucku ila sidhani kama alilewa kivileee na siku ya kesho yake...
Leo nikiwa zangu home na simanzi nzangu za kumuenzi baba wa taifa mara simu yangu ikaita kuanzalia naona namba ya tigo nikapokea NASIKIA sauti kutoka Voda huduma KWA wateja[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na namba yao ya tigo huyo mkaka KANIAMBIA kana mteja kakosea kutuma pesa 47000 imeingia...
Ilikua 2015 kuna NABII alikua anavuma sana kipindi hicho HAPA dar kuna siku niliota naenda kanisan kwake ile nafika mrangon nikamuona yule NABII yuko ndani ya KANISA na watu ambao wanatisha yaani kama misukure nikaogopa nikaanza kukimbia KUMBE walikua wameniona wakaanza kunikimbiza lakin...
Msaada jamanI
Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza...
Ni sehemu nzuri ya kupumzika na familia yako, marafiki na wapenzi. Beach ni nzuri na safi, vyumba vya kulala Ni vizuri na ubora Wa Hali ya juu . Mazingira ni Salama kwa wakubwa na watoto. Kuna bembea za watoto unaweza Ukalipia kwa Mpesa , tigo pesa, Card au Cash. Unaweza kufanya booking kwenye...
Siku ya kwanza kuchungulia jf kabla sijajiunga niliwakuta watu mashughuri sana wawili mshana na Mrs mshana demiss nakwambia kulichangamka sasa sahivi sijui mahaba yao yaliishia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.