Naimbeni kujuzwa dawa ya kuondoa wekundu kwenye jicho moja.
Haliumi Wala kuwasha niliamka ndio nikakuta hiyo hali
Nitumie dawa gani jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufungua friji ni normal things Sana hasa kama kipind cha joto maji lazima unywe ya barid so sio kitu cha kumind Sana kufungua friji kama na ww na hii mindset acha gubu Ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ilikuwa ni nje ya makubaliano na kabla ya Mimi walikuwa wanafanyaje. Nilikataa hizo habari bora walinielewa maana nisingeweza kufanya zile mishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kazi Sana hata madogo wanakuzarau inabid uvumilie.kuna ile system madogo wamekunywa either soda au juice wameshindwa kumaliza eti unaitiwa unakumepaka shombo ya michipsi soda au juice ety mmpe uncle nilikuwa sipend kinouma hizo piga
Hata wakibaisha msosi unaitiwa nilikuwa sipokei
Sent...
Habari za muda huu, ni siku tulivu sana hapa. Jiji la Dar es Salaam kumekucha salama, ingawa kulikuwa na upepo wa baridi sana, poleni na natumaini kila mmoja wetu ni mzima kabisa. Nawatakia kila la kheri katika pilika za kuijenga Tanzania kuwa kubwa tena, yenye amani na upendo. Twende kwenye...
Huu Uzi ni batili hakuna ushaidi wa nadharia
Mtoa mada katoa mtazamo wake anataka na sisi tuamini kama vile yeye anavyoamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yang tumia akili Sana kuliko hisia kwa huyo Binti hapo hakuna mke tuwe wakwel hapo ni wewe uchague mwenyewe Sasa ubet maisha yako yawe kwenye risky
Huyo jamaa anadai ni best yake hao ni wapenz wa mda mrefu Sana tuna wanamalengo makubwa sana pamoja jua hilo. Wewe upo kama njia ya wao...
We ni boya Sana ujue tena wa PhD huwezi kuendeshwa kiasi hicho KaKa amka Ndugu yangu hapo hakuna mke ni kichomi huyo utakuwa unatumika KaKa
Sanuka Ndugu yangu mapema kabla hujafika mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi uzinzi umehalalishwa Sana kwa kizazi hiki ni hatari Sana watu wanafanya uzizi kuliko na wako proudly kabisa na wanajionaa wajanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuhamasisha mila za Kizungu za Uzinifu/ mahusiano ( girlfriend na boyfriend) kwa kuwa zinamdhalilisha mwanamke. Na kupitia huo Uzinifu ndipo Wazungu wakaja na mawazo ya kuwa mwanamke ajitafutie pesa ili asimtegemee mwanaume hivyo lengo na makusudi ni kuhakikisha Uzinifu unaendelea ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.