Habari wana JF
Katika harakati za kusaka ajira, au kibarua au kujitolea, katika mashirika, taasisi, kazi za serikali au makampuni binafsi , kitu muhimu kitakacho kuuza kiufanisi ni wasifu wako wa kazi au Curriculum Vitae inayojulikana kama CV yako.
Hii ndio zana muhimu yako itakayokuwezesha...
https://www.math.tugraz.at/~elsholtz/WWW/papers/papers14faber.html
https://explainingscience.org/2019/09/01/the-goldbach-conjecture/
Mnamo 1742, Mwahisabati nguli kwa jina la Christian Goldbach, alifikiria dhana ambayo ilimshinda kuijibu na kuomba Mwanahisabati mwingine mbobozi anayejulikana kwa...
Mwanariadha Kelvin Kiptum aliyevunja rekodi ya mbio za Marathon duniani hivi karibuni mwaka jana 2023, afariki dunia kwa ajali ya gari.
R.I.P
World marathon record holder and London Marathon winner Kelvin Kiptum and his coach have died in a car crash, Kenya's former prime minister has said...
Kutokea Ramani iliyobuniwa na mwafrika wa kwanza kusajiliwa kama Msanifu wa Majengo, Architecture katika Afrika ya Mashariki na Kati - Beda Amuli
Ujenzi
Kufunguliwa 1974..
Miaka ya 80 - 90....
Miaka ya 2000
Ajali ya moto - 2021
Top
2024 SCHOLARSHIPS
1. Fully Funded Warwick Chancellor's International Scholarships: LinkedIn
2. Radboud University Full Scholarship 2024/2025 For Excellent International Students: Radboud University Full Scholarship 2024/2025 For Excellent International Students: Apply Now! - Opportunities
3...
DP World nchini Tanzania: Kampuni ya UAE kuchukua bandari za Afrika
CHANZO CHA PICHA,AFP
Maelezo kuhusu taarifa
Author,Na Beverly Ochieng
Nafasi,BBC Monitoring, Nairobi
24 Oktoba 2023
Mkataba wa mamilioni ya dola uliotiwa saini kati ya kampuni kubwa ya baharini ya Emirati DP World na Tanzania...
Mwanafunzi wa miaka 14 mwenye asili ya Ethiopia anayeishi USA, ameshinda tuzo na kuwagaragaza wana sayansi wengi wa vyuo vikuu nchini Marekani kwa kuvumbua sabuni yenye gharam ya senti 0.50 inayoweza kuzuia ugonjwa wa saratani ya ngozi...
Habari za Jioni wa JF....
Nimekuwa nikifatilia tetesi kadhaa kuhusu maeneo ya Jiji la Dar es Salaama yanayojulikana kama Buza kwa Mpalange.
Hii ilinipa shauku ya kwenda na kutembelea haya makaazi.... kuwa ni maeneo yaliyosahaulika kimaendeleo na kusababisha maoni tofauti kwa kila wananchi ...
COMMANDO RAID ON DAR ES SALAAM, TANZANIA 1972 BY SOUTH AFRICAN SPECIAL FORCES (RECCE) from The Silent War: South African Recce Operations 1969-1994 by Peter Stiff
FRELIMO, like half a dozen other liberation movements including the ANC, were well ensconced in Tanzania. FRELIMO's main camp was at...
Ungemuona kijana Kulwa Makasi kwa mbali ungeweza kudhani ni kijana mwenye furaha.
Hujitahidi kumkaribisha mteja kwa bashasha japokuwa, tofauti na wenzake, angekuwa amekaa ndani ya kijibanda chake anamouzia viatu.
Kijibanda hicho kilikuwa kimepangiliwa vizuri na kwa unadhifu mkubwa,kama...
Kumetokea moto katika jiji la Johannesburg kwenye jengo linalotumika na wakaazi na idadi kubwa ya wahamiaji, na kuua watu 74 ambapo kuna uwezekano wa ndugu zetu wa Tanzania.
Pia huwa wanajibanza haya majengo ni maarufu kwa wahamiaji kwa sababu, wengi huwa hawalipi kodi kuishi au kulipa kodi...
Naanza na hivi hapa, mwenye favorite yake naye aweke tuvione
1. Converse All Stars
2.Nike Air Revolution
3.Pump Omni Zone Retro
4.Nike Air Force Command
5.Nike Sky Force
6.Nike Delta Force
7.Adidas Pro Model
8.Adidas Forum
9.Nike Terminator High
10.Nike Air Jordan VI
Baada ya kukaa nje ya nchi bila kutembelea nyumbani kwa takbirani miaka 10, juzi nimetua bongo kwa matarajio mengi ya kuona yake mapichapicha ya mitandaoni, lakini nilichokikuta ni hakina tofauti yeyote kuonyesha miji wa Dar es Salaam kuwa umejengeka
Kwanza nimechoshwa na uwingi wa watu bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.