Hivi watanzania waliolewa na foreigners inapotokea kaachwa na hajalipwa haki zake sheria gani inamsaidia mtanzania kama huyu ili kupata msaada,,ikiwa pia kaachiwa na watoto? Na foreigner kasharudi kwao?
Kwa wamarekani ubalozi wao hapa hukataa kabisa kumsaidia mtu wa namna hii na wanakuambia...
hivi umewahi kukwama kwenye mojawapo za elevator ambazo zinamilikwa na OTIS halafu ukapiga simu yao??shughuli inakuwaje katika kuja kutolewa humo ndani,,,mimi nafikiri pia serikali iangalie majengo ambayo yameweka huduma hizi kwani kuna matukio mengi ya hatari ambayo taarifa ama hazifiki katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.