its time Rais sasa aangalie wachapa kazi na si kujaza baraza ambalo halina watendaji, hawa wanaoumwa kweli hata akiumwa mwaka hivi hizo kazi zake nani anazifanya kama si kurudisha maendeleo nyuma??hatuombei watu waachishwe kwa afya mbofumbofu bali tuangalie je maendeleo ya wizara hizo yakoje na...
kama kuna ukweli ni vizuri kujitoa kwani unadhamini watu ambao hawalisaidii taifa kwa lolote zidi ya kuendekeza ufuska its time watu now badala ya kudhamini ****** huu wakadhamini mashindano ya wanafunzi na elimu na kujikita kwenye huduma za kijamii zaidi.
sasa hivi elimu ya Tanzania inaangalia zaidi quantity ya wanaosoma sio quality ya elimu,,sifa kubwa kila mtu yuko shule lakini jeee huko kuna quality ya elimu kweli????...===kweli dunia inaangalia vyeti mistari imetulia,,,
ukweli ni kwamba mwanamke asiyekuwa na aibu si mwanamke ndio maana siku hizi matukio ya ajabu ni mengi ndoa ikidumu mwaka basi ushukuru mungu kwa mambo haya haya mwanamke anatakiwa kujihifadhi urembo afanyie kwake nyumbani sasa wewe unakaa barabarani tena mwanaume ambayo si mumeo na si nduguyo...
mpaka sasa hivi kuna baadhi ya sehemu kama kuna sherehe flani flani wanaume wanapewa mwanzo wanawake mnaambiwa wasubiri wanaume kumaliza kula vitavyobakia ndio mwala nyie.........
huu ni uwizi wa hali ya juu na huku Rais akipigia kelele kuwachukulia hatua wakwepaji wa kulipa kodi kwa nguvu zote sijui hapa ana maana gani kwa nini na watanzania nao wasipewe grace period wakati wanaanzisha biashara ili kumwezesha kukua zaidi badala yake leo ukifungua duka tu tena uchochoroni...
kwani hujui kama SIASA NI MCHEZO MCHAFU as long as you are in'' lazima UCHAFUKE,''Ndio maana wengine wanakimbilia kusafishwa kwenye nyumba za ibada,,,,mwache mwenyewe atafute pa kujisafishia,,,
ki ukweli kabisa nywele ni urembo wa mwanamke na ni starehe ya mwanaume ila pia nywele inaleta mashamsham wakati wa faragha na raha zaidi zishikike kwa urahisi wakati huo, sasa hizi style zingine za kusuka siku 3 kichwa kinaegeshwa juu juu duh kaazi kwelikweli,si ajabu ukakuta mwanamke kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.