Search results

  1. jameeyla

    Germany president resigns over finances scandals

    mbona wewe hukujitokeza??au harakti kwenye keyboard tu....??
  2. jameeyla

    Afya za mawaziri watano ni tete

    its time Rais sasa aangalie wachapa kazi na si kujaza baraza ambalo halina watendaji, hawa wanaoumwa kweli hata akiumwa mwaka hivi hizo kazi zake nani anazifanya kama si kurudisha maendeleo nyuma??hatuombei watu waachishwe kwa afya mbofumbofu bali tuangalie je maendeleo ya wizara hizo yakoje na...
  3. jameeyla

    Vodacom yajitoa miss Tanzania

    kama kuna ukweli ni vizuri kujitoa kwani unadhamini watu ambao hawalisaidii taifa kwa lolote zidi ya kuendekeza ufuska its time watu now badala ya kudhamini ****** huu wakadhamini mashindano ya wanafunzi na elimu na kujikita kwenye huduma za kijamii zaidi.
  4. jameeyla

    Kipanya kaua bendi leo

    sasa hivi elimu ya Tanzania inaangalia zaidi quantity ya wanaosoma sio quality ya elimu,,sifa kubwa kila mtu yuko shule lakini jeee huko kuna quality ya elimu kweli????...===kweli dunia inaangalia vyeti mistari imetulia,,,
  5. jameeyla

    Kweli wabongo tumetoka mbali!

    kulikuwa na mchezo wa baba na mama mnajipikilisha kwenye vifuu vya nazi duh...enzi zile...
  6. jameeyla

    Pedicure na manicure: Hatari sana kwa ndoa zetu na mahusiano kwa ujumla wake!

    ukweli ni kwamba mwanamke asiyekuwa na aibu si mwanamke ndio maana siku hizi matukio ya ajabu ni mengi ndoa ikidumu mwaka basi ushukuru mungu kwa mambo haya haya mwanamke anatakiwa kujihifadhi urembo afanyie kwake nyumbani sasa wewe unakaa barabarani tena mwanaume ambayo si mumeo na si nduguyo...
  7. jameeyla

    Paja la kuku

    mpaka sasa hivi kuna baadhi ya sehemu kama kuna sherehe flani flani wanaume wanapewa mwanzo wanawake mnaambiwa wasubiri wanaume kumaliza kula vitavyobakia ndio mwala nyie.........
  8. jameeyla

    mwanamke reception babuuuuuuuuuuu

    mwanamke jichoooooo hata akiliangalia tu preshaaaa juu
  9. jameeyla

    Kwanini JK hakubaliki ndani ya EAC?

    what u think if president of somalia visit here every now n then......all eyes on Jk ....
  10. jameeyla

    Hivi Kuna Siri Gani Hapa Jamani?

    huu ni uwizi wa hali ya juu na huku Rais akipigia kelele kuwachukulia hatua wakwepaji wa kulipa kodi kwa nguvu zote sijui hapa ana maana gani kwa nini na watanzania nao wasipewe grace period wakati wanaanzisha biashara ili kumwezesha kukua zaidi badala yake leo ukifungua duka tu tena uchochoroni...
  11. jameeyla

    Msemeni Dk.Slaa Paka Mchoke lakini juweni Kelele za Chura Hazimzui Ng'ombe Kunywa maji

    kwani hujui kama SIASA NI MCHEZO MCHAFU as long as you are in'' lazima UCHAFUKE,''Ndio maana wengine wanakimbilia kusafishwa kwenye nyumba za ibada,,,,mwache mwenyewe atafute pa kujisafishia,,,
  12. jameeyla

    Balali yuko HAI - He is not dead

    watanzania tuna DEGREE ya kutunga saana , story kama kwenye kile kitabu cha nchi ya'' kusadikika''
  13. jameeyla

    Tribute to Women's Hair - Why we Love 'em! (Both)

    ki ukweli kabisa nywele ni urembo wa mwanamke na ni starehe ya mwanaume ila pia nywele inaleta mashamsham wakati wa faragha na raha zaidi zishikike kwa urahisi wakati huo, sasa hizi style zingine za kusuka siku 3 kichwa kinaegeshwa juu juu duh kaazi kwelikweli,si ajabu ukakuta mwanamke kwa...
  14. jameeyla

    Mkuu wa mkoa wa Arusha amwagiwa maji stand ya mabasi ya Arusha mjini

    wachache wasichafue hadhi ya jiji la Arusha,mji wa peace n Love:A S kiss:
  15. jameeyla

    CHADEMA Arusha mahakamani ktk picha

    jipya hamna
  16. jameeyla

    Ajali mbaya imetokea Morogoro road,wazungu wa 3 wamekufa.

    RIP wageni mauti hayana mahali,dakika wala saa..
  17. jameeyla

    Kenya declares war on Al Shabaab!

    good starting.....
  18. jameeyla

    Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

    hiki kweli kimuhemhuhe kama hizo flash ulizopata zina uhakika basi kazi ndio imeanza.....:hug:
Back
Top Bottom