Nyimbo zake zingine ni hizi
UNIACHI
USIKU MTAKATIFU (OH HOLY NIGHT)
VITA NI VIZURI
POKEA SIFA
HERI SIKU MOJA
TULIA
WEWE NI BWANA
I HAVE TASTED nimeoja
SAUTI
etc.
Hili halina ubishi huyu jamaa anatalanta ya kipekee sana
Licha ya kuwa hana uwezo Wa kuona tangu kuzaliwa kwake (KIPOFU) Lakini anauwezo MKUBWA Wa kupiga vyombo vingi vya mziki
Sauti yake ni ya kipekee na ya tofauti sana hafanani na mwanamziki yoyote yule
Reuben kigame ni mkenya anaishi...
Patrick masele ni yule jamaaa anasikika kwenye matangazo mengi clouds
Mafano kwenye power breakfast ile sauti inasema "inalipa kusikiliza power breakfast"
Vipindi vyote vya cloud's vikiwa vinaanza lazima usikie sauti yake
Wakuu ile show ambayo nilikuwa ikingojewa kwa hamu kubwa imeanza sasa EAST AFRICA GOT TALENT 2019
Mashindano haya yakusaka vipaji yanafanyika nchini Kenya nakurushwa na baadhi ya television CLOUDS TV /CITIZEN TV /UGANDA TV nk
Kama ulimiss basi cheki episode ya kwanza ya huyu mtoto Wa miaka 7...
Wakuu mambo vipi ile movie ya sister marry iliyofungiwaga na body ya filamu Tanzania
Kisa haina maadili inadhalilisha kanisa katoliki hatimaye imeachiwa huru
Daaah! Movie moja kaliii sana
Humu ndani yupo
Irene uwoya/johari/ray
Imetengenezwa na kampuni ya RJ company (ray&johari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.