Hivi kwanini watumishi wa serikali kama TBS bado wanakua na kiburi cha kusumbua wananchi wenye nia ya kuwafanya maendeleo ya nchi?
Ni muda gani inachukua kupata majibu ya bidhaa za chakula baada kukaguliwa kiwandani? Process hizi hazina muda maalumu wa kuwa zimefungwa? Maana kila siku njoo...
Serikali ya Mheshimiwa rais Magufuli ni ya viwanda. Vipi mtu atafungua kiwanda kama hana usajili wa kampuni kwa wakati? Usumbufu huu kwanini viongozi wanaunyamazia? Maendeleo yatapatikana vipi kama mwendo ndio huu? Wafanya kazi wa brela hawana hata aibu na uzalendo na nchi yao, hawana elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.