Search results

  1. I

    Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

    na wewe, yule mama anafuga mdudu. anakula mdudu huku kavaa huo mtandio ambao tunauita hijab sasa badala ya kumshutumu kwa kuudhalilisha uislamu sisi tunasifia kuwa alikuwa anatukuza uislam. na wale machangu kule kati wanaovaa hijabu tunatoa kauri ipi? tuache kufuata mkumbo kama bakwata kapewa...
  2. I

    Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

    kama uliposimama hupajui ni wapi huwezi kutafuta njia ya unakoelekea. Lazima akili hii ni ya kuazima.
  3. I

    Mavazi ya chadema ni Combat au Magwanda?

    <br /> <br /> nitakujibu kwa kifupi- kombati ni neno la weupe lenye maana ya MAPAMBANO AU MAPIGANO. Wakati magwanda ni mavazi yanayovaliwa na hao wapambanaji. mapambano hayo yanahusu vita sio mapambano ya mpira(michezo)
  4. I

    Mwana JF mwenzangu uko wapi muda huu?

    <br /> <br /> Hahahaha!! kama kawa dada zetu wapo wanasema njoo tena. Baridi ni kwa sana mkuu.
  5. I

    Mwana JF mwenzangu uko wapi muda huu?

    Nakaribia home natoka kupoteza mawazo. Niko Mufindi Iringaaaaaa!
  6. I

    Hivi fikra zangu zikinituma kuwa alikuwa ni kahaba zitakuwa kimakosa?

    <br /> <br /> weee! asisogee kwa demu wangu.
  7. I

    Barakatil Eid wana JF

    sio eid mubaraka
  8. I

    wanyakyusa tu

    Acheni kuweka makundi ebo. mwakisyala angolwisye
  9. I

    Waislam Dodoma watoa Tamko kumwombea mwislam mwenzao Gaddafi

    <br /> <br /> Gadaf hana elimu yoyote ya kijamii. Yeye kasoma zaidi elimu ya dini ya kiislam na elimu ya jeshi basi. Nyerere aliomba ajengewe chuo. Gadaf akasema kamata pesa hii jenga msikiti tu. maana yake gadaf alitaka waislam wa tz wawe hawana elimu kama yeye. huyo shekye kwakuwa ni...
  10. I

    Vodafone yatoa Kilango kipya kwa sim zote

    <br /> <br /> kiwango kipya cha kupiga simu?
  11. I

    Vodafone yatoa Kilango kipya kwa sim zote

    <br /> <br /> CONNECTION MANAGER NDIO NINI?
  12. I

    Wenyeji nipokeeni mwenzenu!

    <br /> <br /> Ingia mwaya.
  13. I

    CCTV chumba cha housegirl

    <br /> <br /> LAKINI KWA BIASHARA ZAKO UMEHARIBU. KWA SABABU KAMA KUNA MTEJA MWINGINE ALIKUWA ANA MPANGO WA KUWEKA CCTV KWENYE CHUMBA CHA HOUSE GIRL, AKISOMA HAPA HATAFANYA. HIVYO UTAKOSA MAHELA.
  14. I

    CCTV chumba cha housegirl

    <br /> <br /> KWELI KUTOA HABARI HIZI KWENYE MITANDAO KIBIASHARA SIO VIZURI. LAKINI HICHO ALICHOKIFANYA HUYO MAMA NI UKATILI DHIDI YA UHURU WA BINADAMU NI UFILAUNI KABISA. YAWEZEKANA ANAPENDA KUMWONA AKIWA MTUPU AU ANA MPANGO WA KUTENGENEZA BIASHARA YA KUUZA CD ZA NGONO. KAMA NI HOFU KUWA...
  15. I

    CCTV chumba cha housegirl

    <br /> <br />
  16. I

    Hivi ni kweli kiswahili hatuna neno "future"?

    <br /> <br /> Safi sana.
Back
Top Bottom