Kwa sasa hali imebadilika taasisi na mashirika mengi ya umma yanaajiri yenyewe kupitia Portal zao bila kuhusisha utumishi au Ajira portal. Leo hiii watu wanaomba kazi TRA kupitia portal ya TRA. NSSF pia watu wanamba kupitia uko na taasisi nyengine za umma.
Je, kuruhusu Mashirika na Taasisi za...
Habari za Asubuhi wanajamii forum,
Uzi uu ni maalum kwa kupeana maelekezo,miongozo,Maswali yote yanayopendwa kuulizwa na TRA katika INTERVIEWS zao,yeyote anejua ni maswali gani wanapenda kuuliza basi ashee nasi hapa kwa vipengele vyote walivyotoa TRA hususa ii ya September 2023.
1.SWALI
Namba...
Habari, Naitwa MGOLE MWITA CHACHA
Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na kuzaliwa vyenye jina tajwa hapo juu.
CHETI CHA FORM FOUR-MAJANI YA CHAI SEC SCHOOL
CHETI CHA FORM SIX-UWEMBA SEC SCHOOL
CHETI CHA CHUO-NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT(NIT)
CHETI CHA KUZALIWA
Iwapo ukibahatika...
Wakuu naomba mwenye ujuzi anijuze njia zipi unaweza kutumia kukuza GPA kama ukimaliza na GPA ndogo. na pia nataka nijue ukimaliza chuo na GPA chini ya 3 unaweza kupata kazi
Naomba msaada. Nina mzee wangu yupo Saudi Arabia anataka anitumie nguo ni njia ipi rahisi na ya bei nafuu ambayo itasaidia nipate mzigo yangu. Ni kampuni zipi hapa Tanzania zinahusika ambazo pia zipo Saudi Arabia na gharama zake zipoje.
Naomba msaada
The strategic formulation approach to entrepreneurial theory emphasizes the planning process in successful venture development.
In strategic formulation school of thought explain four types of strategic involved with unique elements.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nasoma Chuo Degree Mwaka wa Pili, kuna binti mmoja mama yangu alinambia ni mzuri ana tabia nzuri, sema mimi nikawa napotezea sikuwa na haja hiyo. Siku moja nilienda kumsalimia mama nikamuona huyo binti, jamani ni mzuri balaa. Yeye baba ni Mzanzibar na mama...
Habari wakuu, tangu wiki iliyopita natumiwa sms na bank moja hapa nchini wakiniambia laki tatu imeingia kwenye akaunti yako mara laki mbili imetoka mara laki na nusu imeingia, sasa nikawa nashangaa maana sina acount katika hiyo bank, nikahisi labda mwenye hiyo account atakuwa labda amekosea...
Habari yenu wakuu,
Tangu wiki mbili zilizopita natumiwa sms na bank moja hapa nchini ikinambia laki tatu zimeingia kwenye akaunt yako mara laki na nusu imetoka, mara laki mbili imeingia, na wakati mimi sina akaunti kwenye iyo bank
Sasa nashangaa nikahisi labda huyo mwenye akaunt atakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.