Search results

  1. Tanganyika Law Society

    TLS: Kwa Mujibu wa Katiba, sasa Tanzania haina baraza la Mawaziri, Rais Samia atakiwa kuteua Waziri Mkuu ndani ya siku 14

    Mnamo tarehe 19 Machi 2021, aliyekuwa Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, aliapishwa kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, kufuatia kifo cha Raisi Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Kuapishwa kwake kunaibua suala la msingi la kikatiba juu ya...
  2. Tanganyika Law Society

    Tamko la Tanganyika Law Society(TLS), Juu ya Wimbi la Pili la Mlipuko wa Ugonjwa wa Korona nchini

    TAARIFA KWA UMMA Ndugu Watanzania, TAMKO LA TLS JUU YA KUWEPO KWA WIMBI LA PILI LA UGONJWA WA KORONA NCHINI Mnamo tarehe 13 Februari 2021 Baraza la Uongozi la TLS lilikutana kutekeleza majukumu yake na moja ya ajenda ya kikao hicho ilikuwa ni umuhimu wa TLS kuitaka Serikali kutoa tamko...
  3. Tanganyika Law Society

    Tamko la Tanganyika Law Society (TLS) juu ya uamuzi wa kamati ya mawakili kumuondoa Bi. Fatma Amani Karume katika rejista ya mawakili Tanzania bara

    TAARIFA KWA UMMA TAMKO LA TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) JUU YA UAMUZI WA KAMATI YA MAWAKILI KUMUONDOA BI. FATMA AMANI KARUME KATIKA REJISTA YA MAWAKILI TANZANIA BARA NA UAMUZI WA WAKILI FATMA AMANI KARUME KUKATA RUFANI Mnamo tarehe 2 Oktoba 2020 Baraza la Uongozi la Tanganyika Law Society (TLS)...
  4. Tanganyika Law Society

    Ufafanuzi kuhusu kufutwa uwakili wa Fatma Karume

    Taarifa kwa Umma ufafanuzi wa TLS juu ya kufutwa Uwakili kwa Wakili Fatma Karume
  5. Tanganyika Law Society

    Tamko la Rais wa TLS kwa umma juu ya mbinu za kupambana na ugonjwa wa COVID-19

    Ndugu Watanzania, Mnamo tarehe 16 Machi 2020, Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, kupitia kwa Waziri wa Afya, Jinsia na Watoto, Mh Ummy Mwalimu, ilitangaza kuingia nchini kwa ugonjwa wa virusi vya korona baada ya mgonjwa mmoja kugundulika mkoani Arusha. Hadi Jumamosi ya tarehe 18...
  6. Tanganyika Law Society

    Hotuba ya Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika, Dr. Rugemeleza A.K. Nshala katika Maadhimisho ya Siku ya Sheria

    #WikiYaSheria2020 TAREHE 6, FEBRUARI, 2020 UKUMBI WA KIMATAIFA WA MAKONGAMANO WA MWL. JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM Ndugu Mh. Mgeni Rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Joseph Magufuli Mh. Jaji Mkuu, Prof. Ibrahimu Juma, Mh. Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi...
  7. Tanganyika Law Society

    TLS yashinda kesi ya Kikatiba dhidi ya Serikali ya Tanzania iliyofunguliwa mwaka 2014

    TLS yashinda kesi ya Kikatiba dhidi ya Serikali ya Tanzania iliyofunguliwa mwaka 2014 kupinga azimio lililoafikiwa na Serikali ya Tanzania la kulizuia Baraza la Jumuiya ya SADC kuamua kesi kutoka kwa wananchi wa nchi wanachama wa SADC. Kesi hii ilitolea hukumu juzi tarehe 10/06/2019
  8. Tanganyika Law Society

    TLS: Pongezi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Utawala Bora na Mwanasheria Mkuu wa Serikali

    Jumuiya ya Wanasheria Tanganyika (TLS) ni jumuiya ya wanataaluma wa sheria wa Tanzania Bara iliyoanzishwa kwa sheria ya Bunge Namba 307 ya mwaka 1954. Kazi kuu ya jumuiya hii ni pamoja na kutetea na kulinda na kuboresha mazingira ya kazi ya wanataaluma wa sheria, kutoa ushauri wa masuala ya...
  9. Tanganyika Law Society

    TAARIFA KWA UMMA - Sahihisho la TLS Juu ya Kichwa cha Habari cha Gazeti la Raia Mwema la tarehe Aprili 17-23 2019

    Mnamo tarehe 11 Aprili 2019 nilifanya mahojiano na Mwandishi wa Gazeti la Raia Mwema, Mary Victor, kufuatiwa kuchaguliwa kwangu kuwa Raisi wa TLS. Sehemu kubwa ya mahojiano hayo imechapishwa katika Gazeti la Raia Mwema toleo Na. 658 la tarehe 17-23, 2019 kurasa za 12-13 na 16. Hata hivyo ukurasa...
  10. Tanganyika Law Society

    Dar: Yaliyojiri katika mjadala wa wazi juu ya muswada wa vyama vya siasa katika ukumbi wa Kisenga Hall, LAPF Tower

    Chama cha Wanasheria Tanganyika(TLS) kimeandaa mjadala wa wazi juu ya muswada wa vyama vya siasa katika ukumbi wa Kisenga Hall, LAPF tower. Lengo kuu ni kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Mswada na kuyapeleka kwenye mamlaka husika. Tutawaletea update juu ya kinachojiri! ===== UPDATES...
  11. Tanganyika Law Society

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kinatoa huduma ya msaada wa kisheria katika mikoa 14 nchini

    TLS inatoa msaada wa kisheria katika magereza na mahabusi za watoto katika mikoa 14 kuanzia leo tarehe 26 hadi 30/11/2018. Mikoa hiyo ni pamoja na Dar es salaam, Morogoro, Arusha, Mbeya, Mtwara, Shinyanga, Ruvuma, Mwanza, Kagera, Tanga, Singida, Moshi, Dodoma na Iringa. Lengo la Chama cha...
  12. Tanganyika Law Society

    TLS: Tukio la kutekwa na kutoweka kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji

    TAMKO KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TUKIO LA KUTEKWA NA KUTOWEKA KWA MFANYABIASHARA MOHAMED DEWJI Ikiwa ni siku ya saba (7) tangu kutekwa na kutoweka kwa mfanyabiashara ambae pia ni mbunge wa zamani wa Singida Mjini ndugu yetu Mohamed Dewji maarufu kama Mo; Chama cha Mawakili wa Kujitegemea...
Back
Top Bottom