Biashara ya boda inahitaji wew mmiliki uwe na akili ya ziada kucheza na akili za hawa madereva.
Kwa sababu wengi wao hawana malengo ya wanacho kifanya wanafanya ili wale, wavae, na kufanya vitu vidogovidogo akishapata pesa ya kula kwa siku si ajabu akasahau pesa ya mwenye chombo.
Ukiwaacha...
Toka lini mtoa zawadi anapangiwa kiwango cha kutoa?. Ni moyo wake umemsukuma kukupa zawadi then uje eti ooh hii zawadi hainitoshi kwa sababu si hadhi yangu.
Si itakuwa uzuzu huu jamani hii itakuwa ni bongo tu
Jana wameniweka 2 hours pale majumba 6 sijui ni nani mbuzi yule na hata hiyo ndege yenyewe hata kutua ilikuwa bado kama ilikuwa ikitoka dodoma basi nadhani ndio ilikuwa ikianza safari.
Just imagine wew ndio unaanza safari lakini kuna watu watoka mbali chanikaa huko au kisarawe na anakwenda...
As long as anayeyafanya hayo huyafanya akiwa na sare za jeshi la polisi na utambulisho pia wa jeshi la polisi maana yake ipo pale pale haijabadili kitu.
Na waswahili wanasema "samaki mmoja akiozaa......" Maana kama jeshi limeshindwa kusimamia maadili ya mtumishi mmoja wa jeshi simply jeshi zima...
Mimi nadhani shughuli kubwa za watu wa huko ni zile ambazo ni ngumu kufikiwa kwa ukusanyaji wa kodi kirahisi lakini pia uzalishaji mkubwa ni raw products zaidi. Ambazo ni ngumu kuwepo kwenye scope ya kodi. Mfano naweza kulima gunia 100 za mpunga nikaziweka stoo wakati wa kuziuza ni ushuru tu wa...
Fairly man utd deserved a win for this match ni ujinga wa vijana wachache tu kujichekesha kwenye 18 ya timu pinzani. It could be 0-2 kama vijana wangekua serious pale mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.