Kiongozi ishu ni siriaz sana wala sio kuwazidi kete wenzangu,kunaa watu anawadai na wengine wanaomdai taarifa alikuwa akiweka kwenye email yake naa baadhi ya mikataba ndio tuna shida nayo hasa
Imesha toka go ahead Na kikao chaa mirathi kimeshakaa na nitakuwa na ndugu zangu akiwepo bi mkubwa kama itafanikiwa kufunguliwa,so sifanyi mimi kama mimi pia ni msaada kwa bi mkubwa wetu kuhusu baaathi ya mambo.
Habarini wadau napenda kujua njia youote ile nayoweza kuifungua simu ya android without loosing data yaani ikifunguka isifute chochote msaada tafadhaali ni muhimu[emoji120]simu ilikuwa ya mzee wetu na amefariki sasa kuna taarifa muhimu huwa alikuwa akihifadhi kwenye simu hiyo naombeni msaada .
Mimi ni dereva na leseni yangu ndio kama hiyo inavyoonekana , nafanya kazi mazingira yoyote mkoa wowote, ila ikiwa dodoma itapendeza zaidi kwa mawaziliano nicheki DM
Waafrika tunashida sana , yaani unachukia mtu kuishi maisha yake kwani alishawai kuwaomba nauli that's why hatuendelei badala ya kufanya yako unafuatilia life style ya mtu, huo ndio uwaki
Yaaah hasa utaratibu wao unaweza waachia list ya bidhaa unazotakaa ukaendelea na mishe zako ukirudi unakuta wameshapack na hawapunguzi hata bolt, njoo ss huko nanjilinji bila kusimamia utajuta. Kwa uaminifu tu kwenye mizigo ya wateja kkoo wapo juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.