Naomba kujua faida za kutoboa toboa mwili kwa kuuchanja chale mwilini hii ni baada ya kutembea Mikoa hasa ya Kigoma, Shinyanga, Rukwa pamoja na Tabora.
Kwa utafiti wangu wa muda mfupi kwenye mikoa hii unakutana na watu wengi hasa wazawa wana chale mwilini.
Unakuta mtoto mdogo ana chale usoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.