Habar wadau
Naomba mnisaidie wazo dogo Yuko morogoro ardhi tangu juz ananitumia sms et hataruhusiwa kuendelea na semister ya pil kwasab hajatoa Ada ndo nkashangaa hv vyuo vya serikal vimekuja kuaje Tena jaman wanafanya Kama watto wako private embu nisaidien pia Kama Kuna wanafunz hum wa icho...
Imefika miez sita ssa hawashughulik na rufaa Wala malalamiko kisa mwenyekiti kastaafu ingekuwa bandar wangekaa mdaa mrefu hvyo bila kufanya teuzi au kwasab hiki kitengo hakiwaingizii fedha dah
Mm hlo nmekutana nalo mwenyew nliambiwa hapa lazma kunilipa hela ya kukuachia frem na hyo haihusian na kod weee nlivyoondoka cku rud Tena maana ndo nlikuwa naanza biashara
Yan hzo hyo number n maalum haiwez fananishwa na binafs ingawa walichokosea n kugawa ad kwa raia ilitakiwa zle gar za kijan Yuko nazo rais ndo ziwe na hzo number tu hao waliobak huko mfano wazir mkuu wabunge kule wanakoenda kumpiga kampen wabandike tu stika pemben co kweny plate number ndo...
Hzo n za mda mfupi Ila kitu wamekosea n kuachia ad watu wakawaida watumie huenda alietoa hlo wazo hakufikir kwa kina faida na hasara zake lakn kutumika kweny msafara wa rais n sawa kabsa na ilitakiwa iwe hvyo wengne huko wabandike stika pembezon bac n hvyo kunakitu Kama mabavu kimetumika bila...
Me nadhan namba maalum n zle za serikali mfano kweny gar ya wazir mkuu raisi, mkuu wa jeshi, polic etc na namba binafsi n Kama zle za kina diamond, zari, mo hvyo yan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.