Na mimi nimeangalia kipindi kizima wasira ameidhalilisha serikali kwamba ni kweli serikali yao ni legelege kabisa hakuweza kujibu hoja ila alikurupuja jk tunakushauri toa hawa mawaziri wanakuangamiza kabla ya 2015
Nimetokwa na machozi kwa hili kinadharia kila mwaka kuna bajeti ya kila kazi inakuaje wanaanza kuchangishana hapo hatuna cag wote ni wale chadema chukueni nnchi fungeni mafisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.