Kutokana na Kukua kwa Sayansi na Teknolojia nataka nijue kwa miaka inayokuja kama kuna uwezekano wa kuwa na Uchaguzi wa viongozi mbalimbali wa nchi kwa kupitia mtandaoni(online). Yani hapa mtu anaweza kupiga kura akiwa nyumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.