1. Mkuu kwenye electronics huwezi kuwa mwalimu wangu mkuu najua alafu najua tena.
Huwezi sema kila Sony au Samsung ni bora lets speak of TV. Kuna matoleo ya TCL na Hisense ni bora kuliko matoleo ya hizo Samsung na lg.
Kingine sio kila kitu mchina anakopi, ana brand zake bora na nzuri. Ndioaana...
Kama kukop na ku paste sio akili jaribu wewe bro.
Naomba ukopi tu hata kiberiti au toothpick
Bro hao jamaa ni akili sana bila mchina leo maisha ya Waafrika yangekuwa mabovu sana. Imagine ungevaa mtumba nguo 100% mpk leo
Imagine leo unacheki flat screen kwa sh. Laki 2 tu. Smartphone hadi kwa...
Jamani tuache huu mchezo wa mtu akisema kapiga kiasi kadhaa mnajaa inbox kuomba 10, 20 nk
Hii ni kazi kama kazi zingine unakuta mtu ume risk mil 1 nzima upate laki 3
Mtu anaomba kama vile hazina kazi. Kwakweli sio poa. Hii kazi tuna risk sana. Mtu akila sio kwamba ana faida ana vipande...
Nilistuka nikatoa hio option maana nami niliweka, nikawapa wote watoe goal 2 nime stake mechi 1 tu. Lkn huyo home mwenyewe ana ontarget 1 tu dakk 45 za kwanza
Wadau tujadili magari ya mchina naona soko lake hatujalichangamkia lakini hawa jamaa wana gari nzuri sana, zingine kama vipanya tu kuanzia 2500 usd, lakini wana SUVs unapata kwa bei simple tu, nilikiwa nacheki usd 12000 nakuendelea unaweza pata gari 0km
Kwanini hatumwamini mchina wakati kwasasa...
Mpwa wangu mmoja miaka ya nyuma wakati fekon zimetoka, alichukua pikipiki aende hapo gairo tu tokea dar.
Alianza safari Asubuhi, ilipofika saa 10 hivi baada ya dumila tukapokea taarifa jamaa kapata ajali yupo hoi, taya yote ya mbele ilisukwa upya na meno yalikokwenda hatujui.
Bega moja mpk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.