Wana bodi nawasalimu:
Kumekuwepo na jitihadi za makusudi za kushupaa kupitisha katiba inayopendekezwa bila maridhiano na mitifuano ya hapa na pale mmeoina leo hii kwa baadhi ya wabunge waliopiga kura ya hapana kuanza kutishiwa maisha
Naamini kwa jina la ccm katiba hii itapita ila kwa jina la...
Wanabody naamini mko salama?
Naomba mnisaidie kitu kimoja maana ya duniani ni mengi
Nimemsikia kada mkongwe wa ccm na mshauri wa vijana mzee Farijala akiwaambia wafuasi wa chadema kuwa"nimewaambia kutawanyika hamtaki,sasa ngoja wawaonyeshe kazi waliyosomea"na hapo police wakaanza kazi ya...
Habari wakubwa?
Katiba inayotengenezwa ni ya Tanganyika pekee au ni ya jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Kuna public figure kwa upande wa Tanganyika wako ndani ya bunge maalum ila upande za zanzibar hawapo kabisa
Mfano: waziri wa katiba na sheria wa Tanganyika(Tanzania bara) yupo bungeni na...
Wana body wasalaam alyekum?
Ndugu zangu jana katika pita pita zangu kwenye kijiwe kimoja nikakutana na mada inayojadili vyeo alivyopewa mwigulu nchemba ndani ya ccm na kiserikali
"Fikiria mtu kafanya kazi BOT,kawa mweka hazina wa chama,mbunge wa JMT now mbunge wa bunge la katiba,naibu katibu...
Wana body nimatumaini yangu nyote mko salama?
Kuna jambo moja la muhimu sana ambalo viongozi wetu hasa wa Tanzania One(ccm) hawaliongelee kabisa nalo ni;
Mnamo tarehe 16/04/2014 Umoja wa katiba ya wananchi walitoka bungeni na tarehe 25/04/2014 yani siku 9 tu baada ya ukawa kutoka njebya bunge...
Salaam alyekum wanabodi?
Narudia tena" Mtenda akitendwa huhisi kaonewa"
Ccm imedumaza akili za watanzania kupitia katiba ya 1977
Ccm imekumbatia umasikini wa akili na kimazingira kupitia katiba ya 1977
Ccm imejenga tabaka la watu masikini na matajiri kupitia katiba ya 1977
Ccm inagawa...
Asalaam alyekum wakuu?
Kuna haya maneno yanayosekamana yalitamkwa na baba wa Taifa enzi za uhai wake ya kuwa makabila makubwa hayafai kuongoza nchi
1...................wasukuma wana matatizo gani hadi washindwe kuongoza nchi? Wingi wao,ukabila wao,ama ushamba wao?
2...................wahaya...
Wasalaam wakuu?
Kuna mda huwa najiuliza maswali bila kupa majibu ya moja kwa moja,ukiwasikiliza viongozi wa Nchi hii hasa wa ccm utasikia wanasema Nchi yetu ni masikini sana nani taifa dogo(weka akilini mwako kuwa lina umri wa miaka zaidi ya 50)
Ukija kwa wapinzani utawasikia wakisema Nchi hii...
Habari wakuu?
Ujumbe huu uende kwa yoyote atakaepita njia ya bagamoyo kuelekea tanga au arusha awe mwana CDM au mwenye access ya kupata bendera ya chama cha CDM basi awapitishie hawa vijana wa tawi la Ukuni jirani kabisa na shell iliyopo pembeni mwa barabara ukiwa unaingia bwagamoyo.
Vijana...
Yule kamanda aliesimamia zoezi la kukamata mifugo na kurejesha wakimbizi makwao(Operasheni kimbunga) liloambatana na mateso makubwa kwa raia wa Tanzania saimon sillo aka kamanda sillo,kaibukia tena tarime na Operasheni mpya kabisa nayo ni OPERASHENI KUFA NA KUPONA.
Oparesheni hyo inawahusu...
1. Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umasikini,ugonjwa na dhuruma.
(mmefanikiwa lipi kati ya hayo kwa umri wa miaka50 sasa)
2.Rushwa ni adui wa haki
(rushwa ndani ya ccm ni kama ngozi na mwili haviwezi achana)
3.Sitapokea wala kutoa rushwa.
( haya maneno hata kwenye khanga yapo)
4.Cheo ni...
Wadau heshima kwenu
Serikali iliyopo madarakani yanii serikali ya chama cha mapinduzi ina mawaziri wengi wazuri na wengi wabovu, je unaweza nipa majina ya hao mawaziri wa 5 bora na maziri wa 5 wabovu?
Lengo nikuleta ufanisi katika utendaji wao maana rais aliwateua ili wamsaidie kufanikisha...
Wakubwa heshima kwenu?
Kumekuwepo na wimbi kubwa la watanzania wengi kutaka chama cha mapinduzi (ccm) kitokomezwe kusikojulikana ili tu kipotee machoni mwa watu walau kwa miaka 10 ama 20 ijayo na yote hayo yanatoka na ccm kuwapuuza watanzania wenye hali ya chini na wasiokuwa na kipato kabisa na...
Salaam wana janvi?
Kunamekuwepo na majibizano mengi ndani ya mitandao ya kijamii kuhusiana na uchaguzi ndani ya chama cha maendeleo na demokrasia (chadema) wengi wa wachangiaji wakidai ni vyema kufanya uchaguzi kwa sasa na wengine wakisema ni bora tubadilishe uongozi wa juu hasa wanachama wa...
Habari:
Leo naomba nijikite zaidi upande wa vijana wanaofukuzwa ndani ya vyama vyao na kukimbilia vyama vingine na faida na hasara zao ndani ya vyama walivyokimbilia:
Mosi: kijana criss lukosi alikuwa mwanzilishi wa tawi la chadema london, alihamasisha watu kwa wingi na kujiunga na chadema mpk...
Za j2 wadau wa habari?
Kuelekea siku ya kumbukumbu ya mwalimu wa taifa, kipenzi cha wengi, baba wa Taifa letu, na kiongozi alie na mazuri mengi kuliko mabaya na mtu aliepigania uhuru wa nchi yetu na bara la Africa kwa ujumla na kwa pamoja na wazazi wetu, babu zetu na hata bibi zetu.
Leo...
wasalaam wanaJF?
Nimekuwa mfatiliaji sana wa siasa za hapa nyumbani kwa muda mrefu,ila sijawahi shuhudia mh Mwigulu akimkosea adabu mh. Zitto Kabwe kama anavyofanya kwa katibu mkuu dr. Slaa,hawa watu vyeo vyao viko sawa ndani ya vyama vyao,Zitto kabwe ni naibu katibu mkuu wa CHADEMA na Mwigulu...
WanaJF tuwazima nyote?
Kuna jambo moja linanisikitisha sana na kunisononesha pia,idadi ya watu wanaoenda kunisani ama msikitini ni wengi kuzidi idadi ya wale wanaoenda kwenye mikutano ya vyama vya siasa?
IGP mwema alilenga nini kutoa mafunzo ya ulinzi shirikishi kwa misikiti na makanisa na...
wanajopo za j2?
kwa mda sasa nimekuwa mafatiliaji sana wa miradi ya naendeleo katika jiji la dsm na katika ufatiliaji wangu nimegundua ulaji na urafi wa madiwani hasa wa ccm,kwa mfano jimbo la ubungo ambalo liko chini ya cdm na kama mnyika akiona uzi huu pls atoe ufafanuzi wa fedha hizi japo...
Wadau habari za jioni?
Nimesikia tangazo la wito toka kwa mh. Mwugulu akiwaita wanyiramba wote ndani ya ukumbi wa Urafiki pale Shekilango ili kujadili mstakabali wa iramba.
Nikiwa nawaza na kuwazua likaja swali kichwani mwangu nalo ni,wanaCHADEMA wanaotokea Iramba kama Dr. Kitila Mkumbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.