Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC.
Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla.
Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka...
Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini TPBRC, imemfungia kwa muda wa mwaka mmoja bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo kufuatia kitendo chake kugomea kupanda ulingoni katika pambano lililoandaliwa na Kampuni ya PAF Promotion mwezi uliopita.
Mbali ya kumfungia kwa mwaka mmoja, TPBRC...
Habari wakuu,
Huu ni Uzi maalum Kwa ajili ya Tamthiliya pendwa ya kituruki inayojulikana kama Sadakatsız (unfaithful) inayorushwa katika luninga ya Azam Two kuanzia jumatatu Hadi Ijumaa majira ya saa Tatu kamili usiku.
Tuambiane upo team gani
Team Asya
Team Volkan
Team Derin
Team Aras
Sent...
Habari wakuu,
Simu yangu ni google pixel 5 kuanzia Jana mtu akinipigia inakata naomba msaada tafadhali maana nimeshaizima na kuiwasha pamoja na kuirestart bila mafanikio yoyote.
Je hili tatizo linaweza kutokana na simu kudumbukia kwenye maji?
Tafadhali naomba kuwasilisha tafadhali.
Sent from...
Ameandika Ahmed Ally
===
Mara kadhaa utasikia shabiki anasema sisi tunaumia kuliko Wacheza ji au Viongozi.
Ndugu zangu ilimradi sote tuna damu ya Simba basi wote tunapitia maumivu, kinachotokea ni tofauti ya mtu na mtu kuhimili maumivu.
Ndo maana wengine wanalia, wengine wanazimia, Wengine...
Huyu mwamba ambaye katika Himaya ya Utwitani ni Maarufu kwa Id ya Msouth Madenge nilichokigundua huyu jamaa anauwezo Mkubwa wa kuchambua mambo kwa haraka zaidi yaani kwa lugha nyepesi ni mtu mwenye uwezo wa kiakili (mental ability) wa kiwango cha juu, unaofanya jambo la kiakili kwa haraka, kwa...
Habari za Zenu Wakuu Mbalimbali
Naomba kuuliza swali langu kama ifuatavyo:
Je, kuna Taasisi ya Serikali hapa Nchini ambapo Mfumo mpyaa wa ulipaji Mafao kwa ajili ya Wastaafu Yaani Kikokotoo hakiwahusu na wanaendelea kutumia Mfumo wa Zamani kwa ajili ya Malipo ya Wastaafu?
Naomba kuwasilisha...
Msenge (kwa Kiingereza: Transgender) ni aina ya watu ambao hujisikia, hujifikiria na kujiona au kujiigiza tofauti na jinsia zao za kuzaliwa nazo. Kundi hili dogo hujumlisha watu wanaokusudia kujamiana sawa na wengine, yaani mume na mke, lakini wao ni mwanamume kwa mwanamume na kujidai kuwa sawa...
Wakuu habarii,
Kiukweli naomba nianze kukiri kuwa Mimi binafsi sio Mpenzi wa Tamthilia/Filamu za hapa nyumbani Almaarufu kwa Jina la Bongo Movie na hii inatokana na Tamthilia/Filamu zetu kuwa na Ubora Mdogo Jambo ambalo Limetufanya kuvutiwa zaidi na Uamthilia za Ughaibuni.
Siku Moja Majira ya...
Wakuuu habarii za asubuhiii
Mimi binafsi nimepata kumshuhudia mwambaaa wa Lusaka Clautos Chama akiwa anacheza mpira lakini kwa bahati mbaya sikupata nafasi ya kumwangalia Haruna Moshi Boban akiwa anacheza mpira.
Naomba kuwasisha tafadhali
Wakuu naomba kuuliza
Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Simba raia wa Brazili Roberitinho almarufu mzee wa Sambaroketo kushangalia kupata sare pindi timu yake iliposhuka dimbani kucheza na timu ya Azam katika Uwanja wa Lupaso jijini Dar -es-salaam ambapo timu hizo zilitoka sare ya 1-1 huku timu...
Wakuu habarii zenu, husikeni na somo tajwa hapo juu.
Naanza na kukiri kuwa Katika nchini yetu kuwa kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na wachambuzi wengi ambao mimi binafsi nawaita Makanjanja lakini huyu jamaa anaitwa Ramadhan Mbwaduke yuko nondo mnoo huku nikimfananisha na manguli kati eneo...
Kiukweli huyu jamaa anajua mnoo ameandaa tamthilia kadhaa kama vile saluni ya mama kimbo, Kombolela na sasa tamthilia ya zahanati ya kijiji.
Mwisho natoa rai kwa waongozaji wengine wa tamthilia kujifunza kwake kuanzia katika uandaaji, maudhui nk ili kutengeneza tamthilia zenye ubora ili kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.