Mimi pia naomba msaada! Ilitakiwa niingie P terehe 21 mwezi huu. Siku hiyo nilikuwa na dalili zote za kuanza P. Lakini cha ajabu mpaka leo hii sijaingia! Shida nini kwa mnaofahamu. Je, nimeshika mimba?
Wakuu, heri ya mwaka mpya 2019
Kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu "Viagra" naomba anisaidie kwa kunipatia maelezo yake mafupi. Matumizi yake, faida na hasara zake pamoja na zinakopatikana.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaipata wapi hii mkuu? Kwenye maduka ya madawa ipo?
Kwa mnaofahamu naomba mnisaidie kwa kunipatia dondoo chache na inakopatikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wimbo fulani wa kisouth afrika, ni instrumental tu mwanzo mwisho. Bahati mbaya sifahamu jina la hizo beats.
Wakati fulani unatumiwa na madansa kwenye sherehe za arusi na nyingnezo
Mkuu, kwa sasa sitaki kuingia moja kwa moja kwenye hoja yako, lakini naomba nikurekebisha juu ya namna Biblia ilivyoandikwa. Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Ndio maana ya kusema Biblia ni Neno la Mungu. Ndio kusema, mwandishi wa Biblia (primary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.