Internet ya Starlink yaanza kutumika Kenya, Nape ” Elon Musk hakuwa na mpango wa kuweka Ofisi za Starlink nchini”.
https://habarizote.co.tz/2023/07/18/internet-ya-starlink-kupatikana-kenya-nape-elon-musk-hakuwa-na-mpango-wa-kuweka-ofisi-za-starlink-nchini-2/
MIKUTANO YA HADHARA
Na George Sylvester Wambura,
Mikutano ya hadhara na Maandamano ni haki ya msingi ya Vyama Vya siasa kwa mujibu wa Sheria ya Vyama vya Siasa sura ya 258. Ukisoma kwenye haki za vyama vya siasa utaona haki zilizoainishwa katika Sheria hiyo ni pamoja na,
1. (e) Kila Chama cha...
Naomba kuuliza, hiyo line 6a Safaricom ukishajiunga, ukiwa Tanzania itasoma? Na kama utajiunta na Mpesa ya Kenya, tuseme umejiunga kwa App yao, ukiwa Tanzania inakuwaje kwa line kuwa nje ya simu?
Umenifanya niende Kata yangu, nimekuta majina watu wanne, wapo kwenye Karani na qapo Maudhui. Mbaya zaidi majina ya Karani ni mawili na hawajawwka namba za simu, majina hayo hayo yametokea kwenye Maudhui ila yamewekwa matatu na namba za simu. Hii sio sawa
Chukua kaka, Xiomi ni simu zenye features nzuri mno, mi natumia Redmi 10, RAM ni 4+2 GB na internal ni 128 GB. Hiyo Redmi Note 10s ni bira zaidi. Kama upo Dar tuwasiliane
Ratiba inasemaje kuhusu kuanza semina, mbona kama inaonesha tarehe 27 yaani kesho ndiyo semina inaanza, kama mpaka sasa hayajatoka majina ya usaili inakuwaje? Msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.